Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Asante MussolinLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Asante MussolinLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
nipo poa shemela wangu hofu kwako tuUmeirahisishia mahakama kesi kuwa fupi
Shemela uko poa lakini
Asante Bitoz kwa pichaMasihara hayo
Sawa
Ndo ninayoikumbuka
Ni mechi mbili nimezichanganya
......
wajibu wakutapelihabari zenu makapuku...hawa watuwamekuwa changamoto nilinunua line ya halotel nikatumiwa ujumbe huo hapo chini nikaiweka pembeni nikatafuta line ya mtandao mwingine na sasa kanitumia tena ujumbe ambao unasema hivi
+255623271817
Content:
Mjukuu Wangu Maweni haujambo ni mimi babu yako nimeludy kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuri ila ndagu niliyokupa inaonekana imekufaa vizuri maana kila kunapokucha unaongeza magari ila munachoniuzi wewe na wenzako wakina super Feo munaniletea watu nawasaidia bure wanaenda kufanikiwa hawaludy kushukuru haya vijana musione hivi wengi wanataman kuwa kama nyinyi hawajui waanze wapi kuwen makni na masheriti dawa ile ya kuvuta wateja kwenye hotel kama mwanzo nimekuja nayo ni hatali nilivyoitengeneza mwagize kijana aje achukue nipigie nikuelekeze vizuri
Time: 06/06/2017 11:21:49
habari zenu makapuku...hawa watuwamekuwa changamoto nilinunua line ya halotel nikatumiwa ujumbe huo hapo chini nikaiweka pembeni nikatafuta line ya mtandao mwingine na sasa kanitumia tena ujumbe ambao unasema hivi
+255623271817
Content:
Mjukuu Wangu Maweni haujambo ni mimi babu yako nimeludy kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuri ila ndagu niliyokupa inaonekana imekufaa vizuri maana kila kunapokucha unaongeza magari ila munachoniuzi wewe na wenzako wakina super Feo munaniletea watu nawasaidia bure wanaenda kufanikiwa hawaludy kushukuru haya vijana musione hivi wengi wanataman kuwa kama nyinyi hawajui waanze wapi kuwen makni na masheriti dawa ile ya kuvuta wateja kwenye hotel kama mwanzo nimekuja nayo ni hatali nilivyoitengeneza mwagize kijana aje achukue nipigie nikuelekeze vizuri
Time: 06/06/2017 11:21:49
wajibu wakutapeli
Nimerud rasmiPamoja chief ila umeadimikaa
Nipo nipo, japo kiasi sijisikii vizuri, zaidi ni uchovu tu wa kazinipo poa shemela wangu hofu kwako tu
wanazingua,lakini ni kwanini inatokea kwenye namba mpya tu?wajibu wakutapeli
WazimaNimekuja kuchungulia tu,jamani wenye mji hamjambo?
Karibu tenaNimerud rasmi
Uko sahihi komrediHawakucheza wote Madrid kwa kumbukumbu zangu
Pamoja sana ShunieAsante Mussolin
Ahsante shululuKaribu tena
majangilihabari zenu makapuku...hawa watuwamekuwa changamoto nilinunua line ya halotel nikatumiwa ujumbe huo hapo chini nikaiweka pembeni nikatafuta line ya mtandao mwingine na sasa kanitumia tena ujumbe ambao unasema hivi
+255623271817
Content:
Mjukuu Wangu Maweni haujambo ni mimi babu yako nimeludy kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuri ila ndagu niliyokupa inaonekana imekufaa vizuri maana kila kunapokucha unaongeza magari ila munachoniuzi wewe na wenzako wakina super Feo munaniletea watu nawasaidia bure wanaenda kufanikiwa hawaludy kushukuru haya vijana musione hivi wengi wanataman kuwa kama nyinyi hawajui waanze wapi kuwen makni na masheriti dawa ile ya kuvuta wateja kwenye hotel kama mwanzo nimekuja nayo ni hatali nilivyoitengeneza mwagize kijana aje achukue nipigie nikuelekeze vizuri
Time: 06/06/2017 11:21:49
Ahsante kwa historia mkuu1946 - Chama cha mpira wa kikapu Marekani chaanzishwa.
Kilijulikana kama Basketball Association of America ( BAA ) kabla ya kuja kubadilishwa na kuwa NBA baadae.
Pole shemela ndio uanamume huoNipo nipo, japo kiasi sijisikii vizuri, zaidi ni uchovu tu wa kazi