Makapuku Forum

Makapuku Forum

1939 - Jaji Joseph Force Crater anatangazwa rasmi amefariki Dunia baada ya kutafutwa bila mafanikio baada ya kupotea kwa miaka 9.

Jaji Crater alipotea mwaka 1930 alipokuwa na kashfa za kisiasa na hakuwahi kuonekana tena, hali hiyo ikawafanya FBI na Polisi kumtafuta lakini baada ya miaka tisa toka kupotea kwake wakatangaza amefariki.

Jalada la Kesi yake lilikuja kufungwa miaka 40 baadae baada ya kupotea kwake.

OMBI:

Mkuu Bitoz itapendeza siku tukapata top 10 ya watu waliopotea na kushindwa kuonekana tena. Wapo akina Jimmy Hoffa na DB Cooper.
Aisee
 
1968 - Robert F. KENNEDY anafariki Dunia siku moja baada ya kupigwa risasi huko Los Angeles alipokuwa anafanya kampeni za Urais.

The Kennedy Curse:

Huu ni msemo unaorejelea Vifo tata vya wanafamilia wa Kennedy.

Wanafamilia wengi wa Ukoo wa Kennedy wamekufa vifo vyenye utata mkubwa na vya kuhuzunisha. Inaonekana kama kuna watu kadhaa nyuma ya mpango huu wa siri ambao hawakuipenda kabisa familia ya Kennedy ishike madaraka ya aina yoyote nchini Marekani.
RIP Kennedy
 
2016 - Taarifa mbalimbali zisizo rasmi zinadokeza kuwa Bibie Hillary Clinton huenda akatangazwa kama Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Democrats na kuwa mwanamke wa kwanza kufanya hivyo katika miaka 240 ya historia ya Marekani.
266ae43a8e1311776820688cfca74417.jpg
e5d776f06391acf8dbd606cdf35ef0a8.jpg

Na ilikuwa nafasi ya kuandika historia ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke lakini akashinda
Itatuchukua pengine miaka mwingi au usitokee kizazi chetu kushuhudia Rais mwanamke huko USA
....
 
1969 - Fernando Redondo anazaliwa.

Kiungo fundi wa Kiargentina ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid na Inter Milan.

Anakumbukwa kwa kumpiga tobo beki wa Man Utd Hening Berg kwa kisigino katika pambano la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
01e5da206659cc6bfbcd088a633adbe2.jpg
8abec8904897fbacfcb3f579c4c0e344.jpg
2f7efb264516b9a326169543a042ea47.jpg
60bd2f205cf74ef6c43f5acf16bd1d5d.jpg

Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford kiasi hadi mashabiki wa Utd wakasimama na kumpigia makofi
ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
dec65c067567d72439883ea63c4a96d7.jpg

Madrid alisonga mbele mwisho wa siku nae nafikiri akatolewa
Kipindi hicho Madrid alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
Ila Redondo keshawahi kubeba UCL wakati Ronaldo nasikia hajawahi
....
 
01e5da206659cc6bfbcd088a633adbe2.jpg
8abec8904897fbacfcb3f579c4c0e344.jpg
2f7efb264516b9a326169543a042ea47.jpg
60bd2f205cf74ef6c43f5acf16bd1d5d.jpg

Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
dec65c067567d72439883ea63c4a96d7.jpg

Madrid alisonga mbele mwisho wa siku alibeba ndio
Kipindi hicho alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
....
Uko vizuri mzee ila kwa sasa barcelona ni balaa
Siku hazigandi
 
01e5da206659cc6bfbcd088a633adbe2.jpg
8abec8904897fbacfcb3f579c4c0e344.jpg
2f7efb264516b9a326169543a042ea47.jpg
60bd2f205cf74ef6c43f5acf16bd1d5d.jpg

Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
dec65c067567d72439883ea63c4a96d7.jpg

Madrid alisonga mbele mwisho wa siku nae nafikiri akatolewa
Kipindi hicho Madrid alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
Ila Redondo keshawahi kubeba UCL wakati Ronaldo nasikia hajawahi
....
Haikuwa gemu hii, game Ronaldo aliyopiga hat trick ilikuwa ni 2003
 
01e5da206659cc6bfbcd088a633adbe2.jpg
8abec8904897fbacfcb3f579c4c0e344.jpg
2f7efb264516b9a326169543a042ea47.jpg
60bd2f205cf74ef6c43f5acf16bd1d5d.jpg

Siku ile km sijakosea Ronaldo de Lima alipiga hat trick pale old Trafford kiasi hadi mashabiki wa Utd wakasimama na kumpigia makofi
ilikuwa ni mechi ya robo fainali km sijakosea....game la kwanza lilisha kwa sare kule Bernabeu
dec65c067567d72439883ea63c4a96d7.jpg

Madrid alisonga mbele mwisho wa siku nae nafikiri akatolewa
Kipindi hicho Madrid alikuwa moto huku Barca akiwa timu ya kawaida tu kwenye UCL
Ila Redondo keshawahi kubeba UCL wakati Ronaldo nasikia hajawahi
....
Ramadhani Chombo hujiita Redondo akijifananisha na mchawi huyu wa soka kutoka Argentina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom