Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Nitajulia wapi mimi mpwao sasa, wewe ndo ungekuwa wa kuniongoza lakini ndo full kuniharibia. Itabidi tukae tujadili hili suala ni wapi nilikosea

Nitajulia wapi mimi mpwao sasa, wewe ndo ungekuwa wa kuniongoza lakini ndo full kuniharibia. Itabidi tukae tujadili hili suala ni wapi nilikosea

![]()
binamu ungemalizia na ma flowers uone je utajibiwa kwa flowers au kwa ngumi
Saa nyingine akili zikikaa sawa mbona aunt yako anatema pointkweli eehe🙂, nidai mishkaki miwili. Inaonekana utakuwa mtabiri muhimu sana kitaifa
na ninavyopenda sasa kama mmasai kwahiyo mishikaki peke ake binamu au beer najinunulia mwenyewekweli eehe🙂, nidai mishkaki miwili. Inaonekana utakuwa mtabiri muhimu sana kitaifa

Umeanzaaa![]()
binamu ungemalizia na ma flowers uone je utajibiwa kwa flowers au kwa ngumi
mwenye mpododo tena unazidi kumwalibia binamu yako halaf ujue zanzi siiwezi kabisaNakumbuka vizuri ...huyu aunt yako usimwaminii mda mwingine zinakuwa sio akili zake make ile juzi narud nyumban nakuta chumba kizima kimejaa empty heanken ...na kichupa fulani kimeandikwa jina la zanzii sijuii zenjii ata sielew
...kiukweli niliunga mawazo twende ila huyu mwenye mpododo ulivomuonaa tu akili ikapaaa...hatuna namna inabidi tuongee na wazee wa kanisa
Mbona unawaza mbali aunt yake bhinamu wangu...binamu we niangalie tu unafkili habari za cheusi mangala nazipenda me acha niwe kote kote tu kwa style hiyo ungetulia upande wangu na me ningekua na wewe tu
binamu we niangalie tu unafkili habari za cheusi mangala nazipenda me acha niwe kote kote tu kwa style hiyo ungetulia upande wangu na me ningekua na wewe tu
kule wapiii tenaBora umesema wew ....tena eti wakataka wewe uwape lift waende kule ....
acha uchocheziUnamuonaa aunt yako ...na ukikosa asante sijui yeye atafaudika na nini

Wew unatupotezaa...apa mukongo akijaa unaanza kushangiliaaa tushakusomaaa![]()
![]()
![]()
binamu nakutetea ujue
napitaTutaongeaa vizur hawez kutushindaa ...
Alafu anko ...eti anko ...bhinamu kuna namba mpya imenipigia jana sauti amaizing fulaniiii ...vipi yule niliyekuonesha ulifanikiwa kumpa contacts zangu ??
Mbona unasaha sana kama kuku bhinamu ....nilikuoneshaa juzi unatachiiii unasogezaaa mpaka chini unavionaa vingiii mpaka viapplesi inabdi nifundishwe sasa, simu yenyewe hata mwezi bado, sijaizoea kabia. kwani viflower vinapatikana wapi? Hebu daunilodi unitumie
si inabdi nifundishwe sasa, simu yenyewe hata mwezi bado, sijaizoea kabia. kwani viflower vinapatikana wapi? Hebu daunilodi unitumie
Ulikunywaa na naniiimwenye mpododo tena unazidi kumwalibia binamu yako halaf ujue zanzi siiwezi kabisa
Tutaongeaa vizur hawez kutushindaa ...
Alafu anko ...eti anko ...bhinamu kuna namba mpya imenipigia jana sauti amaizing fulaniiii ...vipi yule niliyekuonesha ulifanikiwa kumpa contacts zangu ??
hapo chini kwenye kiemoj binamu flowers ndio zinapopatikanasi inabdi nifundishwe sasa, simu yenyewe hata mwezi bado, sijaizoea kabia. kwani viflower vinapatikana wapi? Hebu daunilodi unitumie
na saa nyingine jeSaa nyingine akili zikikaa sawa mbona aunt yako anatema point
Ila inabidi tuongee vzuriiKuanzia leo nasema kabisa huku nimeshika kitabu cha Hiba ya Wivu kuwa nitakuwa upande wako, eeh ngoswe nisaidie
kweli ujue angemuanza yeye tuone atajibiwa vipiiiiUmeanzaaa