Makapuku Forum

Makapuku Forum

hapo chini kwenye kiemoj binamu flowers ndio zinapopatikana
bc266913c9210c39a2a84c2528c5e21f.jpg
Mwalimu katika ubora wakooo
 
jamani mm ninataka kuoa wake wanne kwa wakati mmoja .munaonaje huu ujanja maana ukioa mmoja halafu zikapita miaka ukitaka kuongeza atasema unamuonea.lkn nimewazaaa nikaona ili kuondoa haya maneno naoa wooote wanne kwa siku moja hapo imekaaje .nipeni ushauri zaidi.mmoja asubuhi.mmoja mchana.mmoja jioni saa kuminna mbili na mwengine wa nne usiku saa mbili
 
Lol! kwani ukipewa zawadi ya viatu unalazimisha ununuliwe na sokisi?


Bora bossy awahi kurudii akusanye simu ili tufanye kaziii

Ila weee kinoma ofisi kote wanakuzungumziaa eti yule bossy mpya kila jion tukitoka mnatoka wote na huwa unanikwepa ...bora tungeliletewaa wa kiume ...ila ongeraaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom