Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hujui tu ninavyojisikia ukinisalimia kirejareja (retail-by mntioning my name) na sio kiujumla jumla (wholesale), yaani unanifanya najisikia vizuri kabisa na moyo badala ya kupiga ndu ndu ndu ndu unapiga kwa utaratibu unakubaliki na madakitari wa moyo nti nti nti.

Nimeamshwa salama sana, nashukuru kwa kuuliza. Nikwambie kitu kizuri cha kibinafsi?

Hujambo lakini?
Bhinamu hivi mama maflower kwa nini anakutolea njee ...ulikosea wapiii
 
Anko, mimi huyu shangazi namwangalia tu na unakumbuka ile juzi nikakuambia kuwa nahisi ndo ananiharibia. ukapendekeza twende tukapige ramli na ukawa tayari kununua jogoo la kupigia ramli? Bahati nzuri cheusi bonge alikuwepo hela ya kumlipa mganga tukanywea bia ,
Nakumbuka vizuri ...huyu aunt yako usimwaminii mda mwingine zinakuwa sio akili zake make ile juzi narud nyumban nakuta chumba kizima kimejaa empty heanken ...na kichupa fulani kimeandikwa jina la zanzii sijuii zenjii ata sielew

...kiukweli niliunga mawazo twende ila huyu mwenye mpododo ulivomuonaa tu akili ikapaaa...hatuna namna inabidi tuongee na wazee wa kanisa
 
Hujui tu ninavyojisikia ukinisalimia kirejareja (retail-by mntioning my name) na sio kiujumla jumla (wholesale), yaani unanifanya najisikia vizuri kabisa na moyo badala ya kupiga ndu ndu ndu ndu unapiga kwa utaratibu unakubaliki na madakitari wa moyo nti nti nti.

Nimeamshwa salama sana, nashukuru kwa kuuliza. Nikwambie kitu kizuri cha kibinafsi?

Hujambo lakini?
binamu ungemalizia na ma flowers uone je utajibiwa kwa flowers au kwa ngumi
 
Anko, mimi huyu shangazi namwangalia tu na unakumbuka ile juzi nikakuambia kuwa nahisi ndo ananiharibia. ukapendekeza twende tukapige ramli na ukawa tayari kununua jogoo la kupigia ramli? Bahati nzuri cheusi bonge alikuwepo hela ya kumlipa mganga tukanywea bia ,
binamu we niangalie tu unafkili habari za cheusi mangala nazipenda me acha niwe kote kote tu kwa style hiyo ungetulia upande wangu na me ningekua na wewe tu
 
Nitajulia wapi mimi mpwao sasa, wewe ndo ungekuwa wa kuniongoza lakini ndo full kuniharibia. Itabidi tukae tujadili hili suala ni wapi nilikosea
Tutaongeaa vizur hawez kutushindaa ...

Alafu anko ...eti anko ...bhinamu kuna namba mpya imenipigia jana sauti amaizing fulaniiii ...vipi yule niliyekuonesha ulifanikiwa kumpa contacts zangu ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom