Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lol! Acha zako, anayenihurumiaga ni Shunie tu, sio wewe. Unajua kabisa mambo yangu yakikaa sawa hutakuwa na kisingizio cha kwenda kwa kina cheusi mangala.

Kwani anko, si unajua mimi na maflowers mbalimbali! Labda kama nikiumwa ila hata ikitokea hivyo wanaonijua wanajua cha kuleta kwa mgonjwa Mimi, fanta na wali ndondo of course na kuku wa kukaangwa.

Jana ulirudi saa ngapi?
Binamu kama unajua mm nakuhurumia mbona ww kila siku unanikwaza tu
 
Shunie aunt yako sijui kala maharage ya wapi sio kwamba anajamba ushuzi mzito la juma ....make na mm leo mwendo wa kugongewa like ntafanyajee siwez jua nilipotoka jana aliingia nani ilo jibu akupe wewe ....

Bhinamu jana tulivoachana jana wakati namsindikiza dem nikakumbuka haswa kuwa nimesahau simu uliponioelekea kwa mhudumu kunichajiaa ...ikabidi turud ndo tukakuta dj kachaweka mabangii yake anachekecha cd sio mchezo ikabidi turuke mbili na mrembo demi ila sio zero distance. ..anyway mengi ya kusimulia safar yetu ila kaamuka anauchovu nkamnunulia supuuu ...
ukitoka wewe hakuna yeyote wa kuingia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom