shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mimi ni Real Madrid, ila leo naombea juve ashinde kwa heshima ya Buffon ili astaafu na heshima iliyotukukaBarca anapopambana na Real au kugombea kombe moja ndo nakuwa upande wa Real
Mfano alipokutana na Bayern nilishabikia Bayern
![]()
![]()
![]()
....