Makapuku Forum

Makapuku Forum

7f18fee941bbffa9e81e76d00ccf4c88.jpg
 
Mimi mbona mtu wa amani sana mkuu, dizain kama watu wa Jamaica... Pepere kaanza huyu mwana kwa kuquote sms ambayo kimsingi haikumhusu nilivyomjibu tu kakimbilia PM ni sms hadi kero sasa...andachoandika hata haeleweki ndo namwambia sipendi namna hii afanye mambo mengine!
Watu wa 'dizaini' hii huwa ni wa kukalia kimya tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom