Ha ahahhahahaha, hapo ndo tunapopatianaga anko, maana umeandika kimkakati kabisa na uhakika wa ushindi.
Safari hii tusiongelee mambo ya viroba au monde, tuwe wataarabu kabisa sio kama siku ile umepiga tingasi ukamshika kalio yule mhudumu kisa kavaa sketi kama mwanafunzi wa sekondari
Na mm namuonaahalaf mama mchuchu ukimuuliza habari za binamu anakupotezea ye anamtaka mukongo tu
Hata Libya hapajatulia tangu USA wamwondoe GaddafiWale jamaa maisha yao ni mwendo wa milipuko tuu
Juzi walipata mlipuko mwingine tena mkuu.
kalio tena hivi binamu uwe unafkilia vya kuongea ujue na ninajitoa kwenye swala la mama mchuchu uhangaike mwenyewe na mjomba ako mama mchuchu tumwachie mukongo wake
Na mm namuonaa
Ila obe bhinamu mbona naye ni muhandsomee....
Yaan bhinamu wala usiofu ata kama ustaarabu haununuliwii tutaazima bhinamu ..Ha ahahhahahaha, hapo ndo tunapopatianaga anko, maana umeandika kimkakati kabisa na uhakika wa ushindi.
Safari hii tusiongelee mambo ya viroba au monde, tuwe wataarabu kabisa sio kama siku ile umepiga tingasi ukamshika kalio yule mhudumu kisa kavaa sketi kama mwanafunzi wa sekondari
Irak wamewekewa puppetsHata Libya hapajatulia tangu USA wamwondoe Gaddafi
Wazee wa We have no permanent friends but we have permanent interests
.....
Na kuzidii unanizidhalaf we ndio umenifundisha hizi mambo nilikua sipendi
Ashafunguaa lock
Tena Putin km kawaida yake akaongoza mapambano...Wachachen wakaomba pooDuuuuuh ..ila hii naikumbuka ilikuwa hatar kipnd hicho
Yaan bhinamu wala usiofu ata kama ustaarabu haununuliwii tutaazima bhinamu ..
Mama mchuchu mbona anakupenda na wewe na tokea kitambo upo moyoni mwake japo li jamaaa lile linajidaii tu ...
Yaan kumuonesha tuko siliasi tutaanza kurudi kanisani na zamu hii mpaka kanisa tutapangiwa zamu za kufagiaa
Alafu yule mganga wetu nasikiaa siku hizi watu wanamiminika kweli nyota anazisafishaa
Kwani limbwata sisi tunashindwaa??....au mkongo kampa limbwata mama mchuchu ? Maana unasema kweli bhana
Bhana tunamsaidiaa bhinam ayo mambo yalikuwa ya zaman kabla sijamaliza posa kwakoo ...na viroba vilikuwa havijakatazwaa...na uzuri + ubaya leo ni tbt ...throw back thursdaykalio tena hivi binamu uwe unafkilia vya kuongea ujue na ninajitoa kwenye swala la mama mchuchu uhangaike mwenyewe na mjomba ako mama mchuchu tumwachie mukongo wake
Bhinam unaona shangaz yako anavonivurugaga ...ajauliza ilikuwajee ashatoaa maamuzOh, usijitoe bhana, umekosea kusoma, sio kumshika kalio, ila anko alishika msimamo na kutoa karipio kali kwanini bartender yule alivaa nguo kama dent