Makapuku Forum

Naunga hoja mkonyooo
 
Utafiti huu wa Makamu wa rais wa Zimbabwe kiboko. Baada ya miaka mitano mizima hatimaye utafiti wake umebainisha kuwa mayatima wengi nchini humo hawana wazazi walio hai!
Aisee inaitaji elimu ya form six kumuelewa vise president
-Kumbe kuna yatima wenye wazazi ambao wako hai
-Na yatima wenye wazazi waliokwisha fariki...

As longest wanaweza kuwa hai lakini hawawajali watoto wao so watoto watakuwa hawana tofauti na yatima
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…