Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango atambue utendaji mbovu wa MSD umechangiwa na mambo haya

KWANI ASKOFU PENGO NDIO NANI!!!!!!

KINACHOTAKIWA HAPO NI KIONGOZI MWENYE; TEAM WORK NA SIO KUWAGAWA WAFANYAKAZI, MWENYE HIGH LEVEL OF INTEGRITY, MWENYE VISION ILIYO CLEAR KUHUSU TAASISI HUSIKA NA SIO KUFANYA KAZI KWA KURUKIARUKIA TU VITU AMBAVYO CONTINUITY YAKE NI QUESTIONABLE.
Kwa wataalamu au viongozi waliobobea kwenye fani HR Management, Utawala au General Management gurus, wanasema Kiongozi yeyote aki-opt kumfukuza kazi mtumishi wa umma au kumhamishia kwenye taasisi nyingine kwa initiative za kiongozi husika kuliko ambatana na hila ndani yake basi hiyo inakuwa ni FAILURE kubwa sana kwa huyo kiongozi maana hatajua kuwa ajaye atakuwa na tabia na performance ya namna gani.

Cha msingi kwa taasisi iliyo makini inawekeza sana katika suala kuimarisha mifumo e.g good and result oriented Staff Performance Systems, Sound Financial Controls and e.t.c

Kiungozi kujinasibu kuwa nimefukuza au nimehamisha watumishi kadhaa kwa kuwapeleka kwenye taasisi zingine hiyo sio sifa nzuri kwa kiongozi bali ni FAILURE, kwa maana umeshindwa kuwatengeneza watumishi wako ili waje na output nzuri kwenye taasisi.

Asante.
 
Kwa wataalamu au viongozi waliobobea kwenye fani HR Management, Utawala au General Management gurus, wanasema Kiongozi yeyote aki-opt kumfukuza kazi mtumishi wa umma au kumhamishia kwenye taasisi nyingine kwa initiative za kiongozi husika kuliko ambatana na hila ndani yake basi hiyo inakuwa ni FAILURE kubwa sana kwa huyo kiongozi maana hatajua kuwa ajaye atakuwa na tabia na performance ya namna gani.

Cha msingi kwa taasisi iliyo makini inawekeza sana katika suala kuimarisha mifumo e.g good and result oriented Staff Performance Systems, Sound Financial Controls and e.t.c

Kiungozi kujinasibu kuwa nimefukuza au nimehamisha watumishi kadhaa kwa kuwapeleka kwenye taasisi zingine hiyo sio sifa nzuri kwa kiongozi bali ni FAILURE, kwa maana umeshindwa kuwatengeneza watumishi wako ili waje na output nzuri kwenye taasisi.

Asante.
Suala la kuhamisha/kufukuza mtumishi naona umelipinga sana na kwamba eti Kiongozi asifukuze Mtumishi bali abadili vision ya watumishi. Hapa unakosea sana, kwamba wizi/ubadhirifu unafanyika na unamepewa taarifa unazoona zina ukweli kuwa Fulani na fulani ndio tatizo halafu bado UWAACHE HAPO eti UBADILISHE TU FIKRA ZAO WAACHE WIZI.!!!!!

Binafsi naelewa taasisi zetu nyingi zinafeli sababu wanaotumbuliwa ni Viongozi tu wa taasisi na Mara nyingi watumishi wakiona Kiongozi anajidai Mjuaji basi kila jambo au changamoto ATATUPIWA KIONGOZI hata kama hazimuhusu. Lengo tu ATUMBULIWE.
 
Suala la kuhamisha/kufukuza mtumishi naona umelipinga sana na kwamba eti Kiongozi asifukuze Mtumishi bali abadili vision ya watumishi. Hapa unakosea sana, kwamba wizi/ubadhirifu unafanyika na unamepewa taarifa unazoona zina ukweli kuwa Fulani na fulani ndio tatizo halafu bado UWAACHE HAPO eti UBADILISHE TU FIKRA ZAO WAACHE WIZI.!!!!!

Binafsi naelewa taasisi zetu nyingi zinafeli sababu wanaotumbuliwa ni Viongozi tu wa taasisi na Mara nyingi watumishi wakiona Kiongozi anajidai Mjuaji basi kila jambo au changamoto ATATUPIWA KIONGOZI hata kama hazimuhusu. Lengo tu ATUMBULIWE.
Naona bado haujaelewa wataalamu wa Uongozi katika Rasilimali Watu na Utawala wanaposema kufukuza au kumhamishia mtumishi kwenye taasisi zingine kunakoendana na hila ndani yake sio suluhisho bali ni Failure kwa huyo kiongozi.

Kiongozi mzuri ni yule anaewatengenezea uwezo wafanyakazi wake!

Kiongozi mzuri ni yule anaeweka human and financial controls kwenye taasisi yake na sio kukimbizana na wafanyakazi. Kukiwa na controls zilizo imara hakuna mtu anaeweza kufanikiwa kuiba, boresha mifumo ya mitandao ya compyuta n system zingine uone kama uizi utaendelea.

Ukiboresha mifumo utakuwa umezuia njama mbaya zifanyazo na mtu.

Napo ubadiilishe wafanyakazi mara ngapi lakini kama una mfumo uliokuwa wa hovyo unafanya kazi bure kwasababu siku zote human by nature is selfish and self centred.
 
Ametembelea Dr Phillip Mpango Makamu wa Rais kuangalia shughuli tu ya kuagiza dawa. Sasa nakubali kweli nafasi ya Makamu haina kazi (Redundant). Yaani unakuwa IDLE mpaka unaamua kwenda Bohari Kuu ya Dawa? Si angemtuma Waziri wa Afya tu?? Too low for VP. Wakati wa JKikwette, Gharib Bilal kazi yake ilikuwa ni kukata utepe kwenye majengo yanayo zinduliwa. Naye alikuwa IDLE.

Katiba ijayo iachane na nafasi ya Makamu wa Rais kwa kuwa iko redundant. Sana Sana kama kuna majukumu kidogo Basi yawe consolidated kwa Prime Minister.
Isingekuwepo nafasi ya Makamu leo hii tungekuwa tumeingia gharama kubwa ya kufanya uchaguzi kwa nafasi ya rais baada ya kifo cha JPM. Ni nafasi muhimu, huyo ni msaidizi wa rais na ni rais aliye tayari kuchukua nafasi ikiwa baya lolote litatokea.
 
Ukiacha yote uliyoongea, serikali haipeleki pesa MSD. Utaiba wakati huna hata pesa za kuiba. Hilo ndio kubwa.
Meko alikuwa anasema anapeleka milioni 250 kila mwaka wakati KIKWETE alikuwa anapeleka milioni 30. Nani mkweli hapo?
 
Nchi nzima mnaongoza nyie kuanzia mitaa, mabalozi nyumba kumi, Madiwani, Bunge na Serikali. Mnakwama wapi?
Sababu wote ni wachumia matumbo yawo.

Viongozi wote huchaguliwa na Raisi au makamo au waziri mkuu au wakuu wengine.

Viongozi wengine wange ajiriwa kama wafanya kazi kuangalia elimu , uzoefu na utendaji kazi.
Yaani kuomba kazi , kupeleka CV na kufanyiwa usaili.
 
Naona bado haujaelewa wataalamu wa Uongozi katika Rasilimali Watu na Utawala wanaposema kufukuza au kumhamishia mtumishi kwenye taasisi zingine kunakoendana na hila ndani yake sio suluhisho bali ni Failure kwa huyo kiongozi.

Kiongozi mzuri ni yule anaewatengenezea uwezo wafanyakazi wake!

Kiongozi mzuri ni yule anaeweka human and financial controls kwenye taasisi yake na sio kukimbizana na wafanyakazi. Kukiwa na controls zilizo imara hakuna mtu anaeweza kufanikiwa kuiba, boresha mifumo ya mitandao ya compyuta n system zingine uone kama uizi utaendelea.

Ukiboresha mifumo utakuwa umezuia njama mbaya zifanyazo na mtu.

Napo ubadiilishe wafanyakazi mara ngapi lakini kama una mfumo uliokuwa wa hovyo unafanya kazi bure kwasababu siku zote human by nature is selfish and self centred.
Ila nadhani Kwa MSD tatizo kubwa sio Kiongozi bali ni Mfumo. MSD ni idara Complex sana kulinganisha na nyingine. Ni Complex sababu inagusa wadau wengi hasa wafanyabiashara wa sawa ambao network yao inagusa sector zote za Afya, binafsi naza uma.
Hata aletwe mtu muadilifu kiasi gani na mwenye hizo Leadership quality unazosema wewe naamini naye atakaa mwaka tu na kuonekana hafai.

Otherwise iondolewe Management yote kisha 3/4 ya watumishi waondolewe na ili kuondoa Mazoea
 
Ila nadhani Kwa MSD tatizo kubwa sio Kiongozi bali ni Mfumo. MSD ni idara Complex sana kulinganisha na nyingine. Ni Complex sababu inagusa wadau wengi hasa wafanyabiashara wa sawa ambao network yao inagusa sector zote za Afya, binafsi naza uma.
Hata aletwe mtu muadilifu kiasi gani na mwenye hizo Leadership quality unazosema wewe naamini naye atakaa mwaka tu na kuonekana hafai.

Otherwise iondolewe Management yote kisha 3/4 ya watumishi waondolewe na ili kuondoa Mazoea
Thank you my friend!!!

Ila sidhani kama MSD ni organization ambayo ni complex kuiendesha, hapana!

Tangu MSD ianze operation zake mwaka 1994 imekuwa ikiendeshwa vizuri tu chini ya wakurugenzi wakuu tofautitofauti pamoja na kuwa hela iliyokuwa inaletwa na Serikali ilikuwa ni kidogo sana lakini dawa zilikuwa zinapatikana kwa wingi ikiwa ni pamoja na vifaa tiba.

Kinachotakiwa ni commitment ya dhati kwa kiongozi mkuu pamoja na management nzima yenye weledi wa kutosha kwenye kuendesha taasisi na sio kuokoteza tu wafanyakazi kwa kujuana ndio uwaweke kwenye nafasi nyeti.

Kwa sisi tuliopo hapa MSD mambo yalianza kuharibika mwaka 2016 pamoja na kwamba inasemekana kuwa ndo kipindi ambacho Serikali ilileta hela nyingi sana MSD kiasi cha Shs. billion 256 lakini mambo yaliendelea kuwa mabaya ikiambatana uharibifu mkubwa sana wa dawa na utoaji wa taarifa potofu kwa Serikali kuhusu upatikanaji wa dawa.

Kubadilisha Menejimenti yote ni sawa. Mkurugenzi Mkuu wa sasa bwana afande hilo kalifanya vizuri sana pamoja na kuwa kiu ya wafanyakazi wa MSD ilikuwa ni kuwatoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala ndugu Victoria Mwanri Elangwa pamoja na Mkaguzi Mkuu wa Ndani bwana Robert Biah.

Wafanyakazi tulifurahi sana kuondolewa kwa huyo mwanamke ambae amejaa sifa za; uzinzi ulio kubuhu wa kutembea na Mkuu wa taasisi na vijana wadogo, usiku kutwa kwenda kwa masangoma Zanzibar, Moshi aliko mama yake, Dar pamoja na Tanga. Huyu mwanamke alikuwa ni mtu hatari sana kwa kuwafitini wafanyakazi na kuwaharibia kazi bila sababu za msingi.

Victoria na Bwanakunu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wakitaka kumharibia utumishi mtumishi walikuwa wanamtumia sana Mkaguzi Mkuu wa Ndani ili aanzishe mchakakato dhidi ya Mtumishi. Mkaguzi Mkuu wa Ndani hana integrity yoyote integrity yake ni zeero na hana msaada wowote kwa afande mbali ya kupeleka majungu na kuiharibu taasisi.

Sisi tuliopo hapa MSD tunamshauli sana afande aachane kuwasikiliza Mkaguzi Mkuu wa Ndani kwasababu mtu huyo kajaa fitina ndani ya moyo wake, hana msaada wowote na amechangia sana kupeleka majungu yalipelekea kuwahamisha MSD baadhi ya wafanyakazi ambao ilikuwa ni asset kubwa sana kwa MSD.

Kitendo cha kumuondoa Frank Nkone pale procurement, nafasi ambayo aliipata kwa majungu na fitina wakati hajawaisomea fani ya manunuzi ulifanya uamuzi mzuri sana, huyu kijana ni mtu aliyejaa fitina na majungu sana, na tunamungalia tu!!
 
Thank you my friend!!!

Ila sidhani kama MSD ni organization ambayo ni complex kuiendesha, hapana!

Tangu MSD ianze operation zake mwaka 1994 imekuwa ikiendeshwa vizuri tu chini ya wakurugenzi wakuu tofautitofauti pamoja na kuwa hela iliyokuwa inaletwa na Serikali ilikuwa ni kidogo sana lakini dawa zilikuwa zinapatikana kwa wingi ikiwa ni pamoja na vifaa tiba.

Kinachotakiwa ni commitment ya dhati kwa kiongozi mkuu pamoja na management nzima yenye weledi wa kutosha kwenye kuendesha taasisi na sio kuokoteza tu wafanyakazi kwa kujuana ndio uwaweke kwenye nafasi nyeti.

Kwa sisi tuliopo hapa MSD mambo yalianza kuharibika mwaka 2016 pamoja na kwamba inasemekana kuwa ndo kipindi ambacho Serikali ilileta hela nyingi sana MSD kiasi cha Shs. billion 256 lakini mambo yaliendelea kuwa mabaya ikiambatana uharibifu mkubwa sana wa dawa na utoaji wa taarifa potofu kwa Serikali kuhusu upatikanaji wa dawa.

Kubadilisha Menejimenti yote ni sawa. Mkurugenzi Mkuu wa sasa bwana afande hilo kalifanya vizuri sana pamoja na kuwa kiu ya wafanyakazi wa MSD ilikuwa ni kuwatoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala ndugu Victoria Mwanri Elangwa pamoja na Mkaguzi Mkuu wa Ndani bwana Robert Biah.

Wafanyakazi tulifurahi sana kuondolewa kwa huyo mwanamke ambae amejaa sifa za; uzinzi ulio kubuhu wa kutembea na Mkuu wa taasisi na vijana wadogo, usiku kutwa kwenda kwa masangoma Zanzibar, Moshi aliko mama yake, Dar pamoja na Tanga. Huyu mwanamke alikuwa ni mtu hatari sana kwa kuwafitini wafanyakazi na kuwaharibia kazi bila sababu za msingi.

Victoria na Bwanakunu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wakitaka kumharibia utumishi mtumishi walikuwa wanamtumia sana Mkaguzi Mkuu wa Ndani ili aanzishe mchakakato dhidi ya Mtumishi. Mkaguzi Mkuu wa Ndani hana integrity yoyote integrity yake ni zeero na hana msaada wowote kwa afande mbali ya kupeleka majungu na kuiharibu taasisi.

Sisi tuliopo hapa MSD tunamshauli sana afande aachane kuwasikiliza Mkaguzi Mkuu wa Ndani kwasababu mtu huyo kajaa fitina ndani ya moyo wake, hana msaada wowote na amechangia sana kupeleka majungu yalipelekea kuwahamisha MSD baadhi ya wafanyakazi ambao ilikuwa ni asset kubwa sana kwa MSD.

Kitendo cha kumuondoa Frank Nkone pale procurement, nafasi ambayo aliipata kwa majungu na fitina wakati hajawaisomea fani ya manunuzi ulifanya uamuzi mzuri sana, huyu kijana ni mtu aliyejaa fitina na majungu sana, na tunamungalia tu!!
Aisee!!! Nimekuelewa.

Kwakweli ukiwa Kiongozi Mwenye dhamana Unatakiwa kuwa makini sana na wasaidizi wako kwasababu wengine watakuwa wanakuletea taarifa ambazo sio za ukweli zenye fitina, ubinafsi na kukomoana na kujikuta unachukuwa maamuzi ya kuhamisha watumishi wenye weledi na kuacha wabovu.
 
Kuna mtu kapiga simu anashangaa sana kuona kwamba ni kwanini Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Bohari ya Dawa MSD bado yupo wakati hajawai kuonyesha impact yoyote ya utendaji katika taasisi hii. Mkaguzi Mkuu wa Ndani kazi yake imekuwa kufanya kazi zake kwa majungu tu, hafanyi kazi ki-profession kama wafanyavyo wakaguzi wengine kwenye maeneo mengine. Mbali ya ku-base kwenye majungu katika utendaji wake ambao unachangia kutokuwa na output yoyote, Mkaguzi Mkuu wa Ndani pia amekuwa ni mtu aliyefanikiwa sana kuwagawa wafanyakazi wa kwenye Idara yake.

Dawa zinaharibika yeye yupo tu, mtandao wa kompyuta unashindwa kufanya kazi accurately yeye yupo tu, mtu anawekwa kwenye nafasi ya Ukurugenzi wa Manunuzi wakati hana sifa yeye yupo tu!!

Huyu mtu hajakuwa na msaada wowote kwa Mkurugenzi Mkuu mbali ya kufanya kazi kimajungu and unethical kabisaa.
Kumbe tatizo ni la ndani kwa ndani ya msd yenyewe halafu mnawalaumu viongozi wa kitaifa. Mnataka rais na waziri wa afya waje wawe wanyampala wa kuwasimamia kila siku ndiyo mfanye kazi?
Mkija huku mitandaoni mnakuwa wajuaji kweli kuwalaumu watu wengine, wakati nyie kazini kwenu ni uozo mtupu.
Wabongo tumekuwa watu wa ajabu sana!
 
Kwani zamani kabla ya 2016 madawa yalikuwa yakinunuliwa bila kufuata sheria za manunuzi? Mbona madawa yalikuwa yanapatikana.

..kwa hiyo unataka kusema Mgaya au Mwaifwani walilimudu shirika na ktk kipindi cha kulikuwa na maelewano baina ya watendaji?

.
 
Kuna mtu aliamini kila kitu ni wanajeshi. Kuanzia korosho, uchaguzi, madini mpaka kwenye dawa. Kuna siku akataka kuteua wanajeshi kwenye timu ya mpira wa miguu. Anamini kila kitu ni bunduki na mabomu. Angemuuliza kiduku.
Hata MSD aliteua mwanajeshi as if ile ni Bohari ya atomic bombs.

Jiwe alikuwa mtu wa ajabu sana
 
Hata MSD aliteua mwanajeshi as if ile ni Bohari ya atomic bombs.


Jiwe alikuwa mtu wa ajabu sana
Ooh yeees!!!

Shida kubwa aliyonayo DG afande wa MSD ni suala zima kuhusu utawala bora. Suala la utawala bora kwake ni shida kubwa sana kwa huyu afande mpaka tunajiuliza kuwa hivi hawa ma-afande wanapoketwa kuja kuongoza taasisi za umma huwa hawapewi abc za huku??

Kwa wa huyu afande, mpaka sasa hivi haelewi MSD ilianzishwa kwa kazi ipi na majukumu ya MSD ni yepi na ndio maana amekuwa akikimbizana na pety pety issues or operational issues ikiwemo kuhamishahamisha na kufukuza wafanyakazi ambao baadhi yao ilikuwa ni asset kwa taasisi kisa majungu ya akina Robert Biah na aliyekuwa DHRA.

Afande anaanzisha very serious project ambazo wizara ya afya hata Board ya Wadhamini hawajapitisha na hata sustainability ya hizo projects ni very questionable!!!. Hakuna hata paper ambayo iliwaiandikwa na wataalamu ili ku-support kitu kama hicho contrary to taratibu za uendeshaji taasisi ya umma, vision kuhusu taasisi hana kabisa huyu afande kazi yake ni safari tu!!

Ndio maana tunasema suala la utawala bora kwa huyu afande ni shida. Inawezekana ni mtu mzuri sana lakini kuna mambo anayafanya kienyeji sana bila kufanya critical thinking na madhara yake kwa badae na ndio ameelekeza sana kusikia majungu

MSD ilianzishwa mwaka 1993 kwa sheria ya Bunge namba 13 kwa kufanya kazi ya; kununua, kuhifadhi na kusambaza dawa za binadamu, vifaa tiba na vitendanishi kwaajili ya hospitali zoote za Serikali, na kama MSD itaamua kufanya shughuli ya nyongeza basi hainabudi kupelekwa Bungeni tena.

Hebu ngoja niishie kwanza hapa.
 
Mfano mzuri wa serikali kushindwa kufanya biashara?

Mleta mada, nakushukuru kwa kunipa mfano mwingine mzuri sana wa kupinga hilo swali nililoliweka hapo juu.

Kitengo kidogo kama hiki, serikali bado haiwezi kukiendesha kwa ufanisi, hiyo serikali itaweza kuendesha kitu gani?

Na mifano ya utendaji wa hovyo kama hii ndiyo inakuwa mbelembele kwa kampeni za walanguzi na wachuuzi kuzidi kudidimiza matumaini ya waTanzania, huku serikali ikitekwa na hao hao wanaoihujumu.
 
Back
Top Bottom