Makamu wa kwanza Zanzibar amekiuka kumpongeza mshindi wa urais Zambia. Zanzibar sio dola huru mbele ya uso wa kimataifa

Katiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.
Nyie mungeungana na kenyaaa Ugandaaaa Ruwandaaa au hata Congoo.Hivi visiwa vya majini mutaviacha tu.Othman Masoud katumia haki yake na msomi kushinda weye na familia yako.
Sovereignty resides in the hands of Tanzania.
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Mwache awapongeze ni wapinzani wenzie! Kaona CCM imepata kigugumizi!
 
Kama ni lawama zipeleke kwa bosi wake kwanza. Yeye ndio alianza kutoa salam za pongezi jana. Inamaana Dr Mwinyi hajui kama Zanzibar sio dola kamili?

 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Sawa kabisa. Makamu wa rais zanzibar hakupaswa kufanya alichokifanya. Hiyo ni shughuli ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Inabidi aonywe vinginevyo tutarudia vurugu zile zilizopelekea hadi zanzibar kujiunga mashirika ya kimataifa kama ois kitu ambacho ni stahiki pekee ya serikali ya jamhuri ya muungano.
 
sikujua kumbe kuna tofauti kati ya Nchi na Dola..

Maana kwenye katiba yao inatamka wazi kabisa kwamba "Zanzibar ni NCHI".
 
mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
Headed paper yake inakuwa na jina lake sio cheo Cha kiserikali yeye katumia headed paper yenye nembo na cheo Cha kiserikali

Pili hakuandika kininafsi Soma paragraph ya pili uone anaongea Kama msemaji wa serikali ya Zanzibar bila hata haya!!!

Paragraph ya pili ndio inaonyesha wazi makosa yake
 
Katiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.
Nyie mungeungana na kenyaaa Ugandaaaa Ruwandaaa au hata Congoo.Hivi visiwa vya majini mutaviacha tu.Othman Masoud katumia haki yake na msomi kushinda weye na familia yako.
Weye = Wewe
 
Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Yeye katuma salamu kama serikali

Soma headed paper kumeancikwa vice president's office siyo home! Ni office.Ina maana office ya vice president ndio imeandika hiyo barua sio yeye binafsi!!!

Na paragraph ya pili ya hiyo barua ndio kabisa kaandika utafikiri yeye ndie Raisi wa Zanzibar!!!
 
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.

Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.

Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.

Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Hili ni kosa kubwa kidiplomasia. Kwanza mambo ya nje ni suala la kimuungano na siyo la SMZ. Pili yeye kiitifaki hata kama Zanzibar ingekuwa ni nchi nje ya muungano hastahili kumtumia salaam Rais wa nchi nyingine. Hilo angeachiwa Rais wa Zanzibar. Rais Hichilema siyo counterpart wake.
 
Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Salamu za serikali? Sisi tunatambua kuwa salamu za JMT ndio zinatuwakilisha watanzania ndio hizo rais wa JMT anatakiwa kuzituma.
 
Back
Top Bottom