Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #21
Mkuu Pascal headed paper yenye nembo ya SMZ ni mali binafsi ya Osman Masoud?mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
Mkuu Pascal headed paper yenye nembo ya SMZ ni mali binafsi ya Osman Masoud?mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
Sovereignty resides in the hands of Tanzania.Katiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.
Nyie mungeungana na kenyaaa Ugandaaaa Ruwandaaa au hata Congoo.Hivi visiwa vya majini mutaviacha tu.Othman Masoud katumia haki yake na msomi kushinda weye na familia yako.
Mwache awapongeze ni wapinzani wenzie! Kaona CCM imepata kigugumizi!Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Sisi tunajijua lkn weye hujijui .Sisi ni Zanzibar weye ni MtanganyikaaSovereignty resides in the hands of Tanzania.
So what?Sisi tunajijua lkn weye hujijui .Sisi ni Zanzibar weye ni Mtanganyikaa
Kama ni lawama zipeleke kwa bosi wake kwanza. Yeye ndio alianza kutoa salam za pongezi jana. Inamaana Dr Mwinyi hajui kama Zanzibar sio dola kamili?
Sawa kabisa. Makamu wa rais zanzibar hakupaswa kufanya alichokifanya. Hiyo ni shughuli ya jamhuri ya muungano wa tanzania. Inabidi aonywe vinginevyo tutarudia vurugu zile zilizopelekea hadi zanzibar kujiunga mashirika ya kimataifa kama ois kitu ambacho ni stahiki pekee ya serikali ya jamhuri ya muungano.Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Binafsi vipi wakati katumia karatasi yenye nembo ya serikali.Ila mbona kaandika personally, maana yake ni yeye binafsi
yeye ni Makam kuwa na adabuBwakum ngesem in yuhu!
Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
Headed paper yake inakuwa na jina lake sio cheo Cha kiserikali yeye katumia headed paper yenye nembo na cheo Cha kiserikalimtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.Mkuu Pascal headed paper yenye nembo ya SMZ ni mali binafsi ya Osman Masoud?
👏yeye ni Makam kuwa na adabu
Weye = WeweKatiba ya zanzibar haijakosea tena na mipka yake hilo jua kabisa na huu muungano utakufa tu ONE DAY YES.
Nyie mungeungana na kenyaaa Ugandaaaa Ruwandaaa au hata Congoo.Hivi visiwa vya majini mutaviacha tu.Othman Masoud katumia haki yake na msomi kushinda weye na familia yako.
Yeye katuma salamu kama serikaliNi mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
kwahiyo makamo Mpango nae ruhksa kutumia Salam za pongezi na headed paper ya magogoni?? Naomba unijibu PNi mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Hili ni kosa kubwa kidiplomasia. Kwanza mambo ya nje ni suala la kimuungano na siyo la SMZ. Pili yeye kiitifaki hata kama Zanzibar ingekuwa ni nchi nje ya muungano hastahili kumtumia salaam Rais wa nchi nyingine. Hilo angeachiwa Rais wa Zanzibar. Rais Hichilema siyo counterpart wake.Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Salamu za serikali? Sisi tunatambua kuwa salamu za JMT ndio zinatuwakilisha watanzania ndio hizo rais wa JMT anatakiwa kuzituma.Ni mali ya serikali, Samia anaweza kutuma salamu za pongezi za serikali, Spika akatuma za bunge, Mwinyi akatuma za rais wa Zanzibar, Makamo nae akatuma zake za makamo.
P
Naendelea kusisitiza, kama ni pongezi kila mtu yuko huru kupongeza kutumia headed paper yake!.Salamu za serikali? Sisi tunatambua kuwa salamu za JMT ndio zinatuwakilisha watanzania ndio hizo rais wa JMT anatakiwa kuzituma.