Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,085
- 6,564
- Thread starter
- #41
đź‘Źkwahiyo makamo Mpango nae ruhksa kutumia Salam za pongezi na headed paper ya magogoni?? Naomba unijibu P
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
đź‘Źkwahiyo makamo Mpango nae ruhksa kutumia Salam za pongezi na headed paper ya magogoni?? Naomba unijibu P
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Yes baada ya rais kumpongeza rais mpya, VP pia yuko free kumpongeza rais mpya, PM pia yuko free kupongeza, hakuna tatizo lolote. Hata wewe kwa kutumia headed paper yako uko huru kupongeza.kwahiyo makamo Mpango nae ruhksa kutumia Salam za pongezi na headed paper ya magogoni?? Naomba unijibu P
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Headed paper inasignify kuwa ni official info, jambo ambalo kwa ishu zinazohusu muungano mwenye mamlaka ni rais wa JMT. Kama ni hivyo hata wakuu wa mikoa watume salamu kwa kivuli cha JMT.Naendelea kusisitiza, kama ni pongezi kila mtu yuko huru kupongeza kutumia headed paper yake!.
P
Mkuu headed paper ya Smz au SJMT ni kitu kingine. Alafu wewe si lawyer mkuu? Au nakosea?Yes baada ya rais kumpongeza rais mpya, VP pia yuko free kumpongeza rais mpya, PM pia yuko free kupongeza, hakuna tatizo lolote. Hata wewe kwa kutumia headed paper yako uko huru kupongeza.
P
Hiyo headed paper aliyotumia sio yake Ni ya serikali ya Zanzibar!!!! Huwezi binafsisha headed paper ya serikaliNaendelea kusisitiza, kama ni pongezi kila mtu yuko huru kupongeza kutumia headed paper yake!.
P
Siyo hivyo brother. Salaam zina protocol zake na hasa unapotumia cheo chako na headed paper.Naendelea kusisitiza, kama ni pongezi kila mtu yuko huru kupongeza kutumia headed paper yake!.
P
Hueleweki mfano una laini ya Mpesa au Tigo pesa Ukiwa Zanzibar tozo haitakuhusu ukituma au kupokea pesa?Tozo ya miamala iliyopitishwa na Bunge la JMT inahusu tu wadanganyika,Zanzibar hizo tozo haziwahusu!
Sasa hapo utasema hili ni taifa moja?
Alichovurunda hapo hata hiyo tu ya serikali moja tu ya Zanzibar imemshinda!!! Hizo salamu alitakiwa atoe Raisi Zanzibar sio yeye !!! La serikali moja tu ya Zanzibar anashindwa zikija serikali tatu sii ndio atachanganyikiwa kabisaSerikali tatu ndiyo suluhisho ya hayo yote, naunga mkono katiba mpya
Nimesoma hiyo sentensi ya kwanza kwa kiarabu! Mkuu punguza jazba!Bwakum ngesem in yuhu!
Hata kama Zanzibar ingekuwa taifa, yeye ni nani hata atume salaam za pongezi? Hana hadhi hiyo.
Na amesema mwanzoni kabisa wa barua yake..." Personally..." sasa sijui hiyo ya zanzibar kama nchi inaingiaje hapo ili ahali amesema hilo neno personal, yaani kwa niaba yake binafsi. Hakuanza na .... kwa niaba ya--- on behalf of ... ya serikali ya ... interpletation humu JF wakati mwingine ni changamoto...mtu yoyote yuko huru kutuma Salaam za pongezi popote kwa kutumia headed paper yake!.
P
Zanzibar ni koloni la Tanganyika.Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Utatuzi wa mkanganyiko huu ni KATIBA MPYA - Serikali tatu.Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa Montevideo ili dola liwe huru lazima liwe na uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa.
Kwenye katiba ya JMT, mambonya ni sio suala la muungano hivyo Zanzibar haipaswi kushiriki masuala ya nje bila kuihusisha wizara ya mambo ya nje ya muungano.
Kitendo cha makamu wa rais wa Zanzibar kutumia ofisi ya serikali ya mapinduzi Zanzibar kutuma salamu ni kuvunja Katiba. Maana Act walando ni sehemu ya serikali ya Smz ambayo ipo chini ya JMT.
Tukumbuke kuwa Zanzibar hakuna dola bali kuna serikali ya mapinduzi Zanzibar.
Sio practicing Lawyer ni mwandishi wa habari!!! Ana cheti tu Cha sheriaMkuu headed paper ya Smz au SJMT ni kitu kingine. Alafu wewe si lawyer mkuu? Au nakosea?
Na amesema mwanzoni kabisa wa barua yake..." Personally..." sasa sijui hiyo ya zanzibar kama nchi inaingiaje hapo ili ahali amesema hilo neno personal, yaani kwa niaba yake binafsi. Hakuanza na .... kwa niaba ya--- on behalf of ... ya serikali ya ... interpletation humu JF wakati mwingine ni changamoto...
yeye ni Makam kuwa na adabu
Huyo Makamu wa Raisi kasoma Sana sheria lakini ana IQ ndogo mno .Taabu yake sio elimu Ni IQPersonally kama makamu wa kwanza wa Smz. Sio kama Osman Masoud. Kama ni ishu zake binafsi headed paper ya Smz ya nini? Wewe ndio hujui.
Atimuliwe atafutwe mwingineMakamu asiyeheshimu Katiba wala kuzingatia itifaki hana adabu!