lol.. aliwahi mwambia binti mmoja eti atamlea lakini yeye na ndom m2 na adui eti ana allergy nazo...sasa sijui...
Kada..wewe ndiye tunayekutegemea kwasababu si unajua inawezekana ni yeye aliyezipokea pesa za EPA wakiziingiza kwenye kampeni ya CCM????????????????????????????????????
lol.. aliwahi mwambia binti mmoja eti atamlea lakini yeye na ndom m2 na adui eti ana allergy nazo...sasa sijui...
He is next.....
Sasa nani atakuwa shahidi kuwa CCM ilipokea pesa za EPA?
Mkuu mweka hazina walisha muondoa, umesahau alikuwa ni mama salome mbati ?Sasa nani atakuwa shahidi kuwa CCM ilipokea pesa za EPA?
Ama mweka hazina anatosha?
Tuambiane wakuu!
CUF nini?/?/
no cuf hawana kisasi na MAKAMBA,cuf wao hasira zao ni WAHAFIDHINA wa SMZ tu.