Makamba Yuko Mahutihuti India

Alafu Aka Kamtindo Ka Kutibiwa India Na S/a Na Ulaya, Lazima Ni Issue. Haiwezekani Sisi Hatupati Matibabu Kwa Kutojali Kutengeneza Hospital Zetu Na Pesa Zote Wanapeleka Nje Kujitibia. Sisi Wanatuonaje???? Wakati Wa Kampeni Itabidi Tuwaulize Maswali. Lakini Pia Mbona Wabunge Wetu Sijasikia Wanalikomalia Hili Au Kwa Sababu Na Wao Wanajumuishwa Katika Manufaa Hayo??? Jamani Hospitali Zetu Jamani Ziko Hivi Sikwa Sababu Hatuna Pesa. Hapana Ni Kwa Sababu Sirikali Yetu Imeamua Kuzipa Kisogo. Sisi Tunakufa Kwa Magonjwa Ambayo Tungeweza Kutibika.
 
IF AT HE WILL BE NEXT, BASI MUAFAKA WA CUF NA CHAMA CHA CHUKUA CHAKO MAPEMA UTAPATIKANA. SIMPLY BECAUSE, JAMAA NI KIKWAZO KWENYE MEZA YA MUAFAKA.

Mkuu, si tu ni kikwazo bali ni "weak link" hajui kinachoendelea. Nimekuwa nikisikiliza na kusoma anayoyatoa nikagundua sijui darasa lake ni la kiwango gani na ufahamu wake ni aina gani. It is so surprising that kila mara ana ji contradict. I fell so sorry kwa watanzania kwani the 2% Most Bogus people are the one making decision for the whole tanzanians. Inanuma sana
 
Huyu hana influence yeyote kwenye Muhafaka CUF hawamtaki kwa sababu anawapotezea muda bure kujadili na mtu ambaye mkikubaliana akienda kuwambia wenzake wanamtoa mbio kiasi cha kushangaza na analazimika kusema uongo ili aungane na wenzake. hana nguvu kwenye madaraka ya CCM ndo maana CUF hawataki kujadili nae wanataka mtu mwenye influence kwenye watakachokubaliana.
 
Kama ni kweli, watakuwa wanamalizana wenyewe kwa wenyewe. Au wanataka afe na siri za muafaka? Safi sana tena eeeee Mola tusaidie kutuondolea mafisadi, sala zetu zisiende bure. Mi naona anachelewa kufwaaa!
 
Tanzania inabidi tufike mahali tuliangalie upya suala la viongozi kutibiwa nje ya nchi. Tukiboresha MHimbili kuna haja gani ya kuenda nje ya nchi? Sasa hao ni viongozi hatuambiwi kuhusu waume/wake za viongozi wanapougua wanatibiwa wapi na watoto pia. Kama baba/mama haamini matibabu ya ndani ya nchi ni wazi kuwa mke/mume wake na watoto wanapougua itabidi awapeleke nje, na kwa kuwa wanatibiwa na serikali ni gharama kwa wananchi.
 
Hawa watu wana nini? pengine hayupo mahututi ila kenda check-up ya mafuwa tuu. Si unajuwa tena hao ndio wenye nchi? hizo pesa wanazitowa wapi? wakati wengine wanakufa kwa magonjwa madogo tu hapa kwetu, wenzetu wanaokomba vijisenti vyetu vya kodi wakiumwa kidogo India, South Africa, Europe. Hata haya hawaoni wala hawajuwi vibaya. Ni juzi juzi tuu tulisikia Mkuu Shein yuko huko anakaguwa namna apollo hospital watavyowekeza hapa, sasa jamaa ndio yuko huko, atatibiwa bure? kama hatolipa fedha basi atalipa fadhila. Uzi ule ule ufisadi kwenda mbele.



Ndugu yangu hili swali majibu yake sio rahisi. Tumuulize Kubenea naye pia ameenda kutibiwa INDIA. Labda na yeye ni fisadi, if seeking treatment in India is what defines fisadi.
Bado tumelala hakuna sheria inayowaminya viongozi wetu kufanya hivyo, ingekuwepo wangetengeneza hospitali zetu tu.
 
Tanzania inabidi tufike mahali tuliangalie upya suala la viongozi kutibiwa nje ya nchi. Tukiboresha MHimbili kuna haja gani ya kuenda nje ya nchi? Sasa hao ni viongozi hatuambiwi kuhusu waume/wake za viongozi wanapougua wanatibiwa wapi na watoto pia. Kama baba/mama haamini matibabu ya ndani ya nchi ni wazi kuwa mke/mume wake na watoto wanapougua itabidi awapeleke nje, na kwa kuwa wanatibiwa na serikali ni gharama kwa wananchi.

Hongera sana mkuu tena nakushauri hii post uiweke kama thread mpya ili tuijadili kwa kina, na kaka Zitto, Slaa,ndesamburo, Ole sendeka Anna kilango tunaomba mkaifanye hoja binafsi bungeni, tumechoka na haya mambo
 
Mkuu, si tu ni kikwazo bali ni "weak link" hajui kinachoendelea. Nimekuwa nikisikiliza na kusoma anayoyatoa nikagundua sijui darasa lake ni la kiwango gani na ufahamu wake ni aina gani. It is so surprising that kila mara ana ji contradict. I fell so sorry kwa watanzania kwani the 2% Most Bogus people are the one making decision for the whole tanzanians. Inanuma sana

NOT ONLY TO FEEL SORRY FOR TANZANIANS WE NEED TO DO SOMETHING TO GET RID OF THIS DUBIOUS LEADERSHIP. HATUTAKI TENA KUONGOZWA KWA MTINDO WA ZAMA ZA KALE, WE NEED CHANGES, AND WE ARE THE ONE TO BRING CHANGES, UWEZO HUO TUNAO TUSIDHANI KWAMBA MUNGU ATATUSAIDIA KUWA TOA HAWA KINA BULICHEKA KWENYE MADARAKA, LET US UNIT FOR BETTERMENT OF THE COMMING GENERATION. SAY NO FOR MAARIFA MAARIFA LEADERSHIP.
 
LESIRIAMU kuwaita viongozi hawa wakubwa BULICHEKA nafikiri siyo sahihi pamoja na kuwa wazo la mabadiliko ni muhimu lakini siyo kwa staili unayoitoa wewe sina hakika kama hata hicho kitabu cha BULICHEKA ulikisoma shuleni au umehadithiwa na wazazi wako maana mimi naamini wasomi wa enzi ya vitabu hivya vya BULICHEKA huwa wana nidhamu katika maongezi yao.
 
Its inhumanity 4 humanbeing 2 wish death 4 humanbeing But 4 this i wish Makamba die soon!
 
kwanza kuumwa ni jambo linalotokea kwa binadamu wa kawaida
pili makamba aweza kuwa si mahututi, kenda kufanyiwa medical checkup tu.
tusigeuze kila maradhi ya mwana ccm kuwa yanatokana na hao ccm , kwa kuwa tutakuwa dissapointed baade bure
 
Tulimuona, mgonjwa yule! Inashangaza viongozi wa Tanzania, mtu mgonjwa hawatuambii waongozwa?!!!!
 
duh hii sasa kali...anyways hao wakuu jamani kusafiri kwao siku hizi naona imekua kimya kimya though nina hofia ni jasho letu sie wa tz latumika,hata huko india nimeona pichaz kwenye blog Spika wa Bunge letu akizindua matawi ya ccm huko..sasa sijui ndo alienda mpa pole makamba,au naye alienda 4 check up kama kawaida yao
 
Back
Top Bottom