Makamba: Mradi wa umeme wa Rusumo hydropower project kukamilika mwezi Novemba 2022

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,810
11,979
'MRADI WA UMEME WA RUSUMO HYDROPOWER PROJECT KUKAMILIKA MWEZI NOVEMBA 2022' - MAKAMBA

Siku ya sita ya Ziara ya Waziri wa Nishati January Makamba kwenye Mikoa 14 na Wilaya 38 imemfikisha kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda unapojengwa mradi mkubwa wa uzalishaji Umeme wa Maji wa Rusumo (Rusumo hydropower Project).

Mara baada ya kukagua mradi huo Waziri Makamba alipata nafasi ya kuongea na Wanahabari kuhusu hali ya mradi huo ulipofikia ambapo amesema>>' Kasi ya Ujenzi inaendelea vizuri na uko kwenye asilimia 95%, mradi ukikamilika Kampuni hii itauuzia umeme mashirika ya Umeme kwenye hizi nchi tatu (Rwanda, Burundi na Tanzania) umefadhiliwa na wafadhili wa Benki ya maendeleo ya Afrika na wafadhiri wengine wa Maendeleo' - Makamba.

Pamoja na hayo Waziri Makamba akaongeza kwa kusema >>'Tunautegemea mradi huu kuongeza uhakika wa umeme kwenye ukanda huu wa Ziwa Victoria, Jawabu la matatizo ya umeme kanda ya Ziwa ni mradi huu' - Makamba.

Mradi huu wa Rusumo Hydropower unategemewa kumalizika mwezi Novemba mwaka huu (2022) na utahusisha nchi 3 ambazo ni Tanzania, Rwanda na Burundi.
IMG-20220717-WA0011.jpg
IMG-20220717-WA0017.jpg
IMG-20220717-WA0018.jpg
IMG-20220717-WA0013.jpg
IMG-20220717-WA0005.jpg
IMG-20220717-WA0014.jpg
IMG-20220717-WA0025.jpg
IMG-20220717-WA0006.jpg
IMG-20220717-WA0020.jpg
IMG-20220717-WA0019.jpg
IMG-20220717-WA0007.jpg
IMG-20220717-WA0016.jpg
IMG-20220717-WA0010.jpg
IMG-20220717-WA0023.jpg
IMG-20220717-WA0022.jpg
IMG-20220717-WA0024.jpg
IMG-20220717-WA0012.jpg
IMG-20220717-WA0021.jpg
IMG-20220717-WA0008.jpg
 
'MRADI WA UMEME WA RUSUMO HYDROPOWER PROJECT KUKAMILIKA MWEZI NOVEMBA 2022' - MAKAMBA

Siku ya sita ya Ziara ya Waziri wa Nishati January Makamba kwenye Mikoa 14 na Wilaya 38 imemfikisha kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda unapojengwa mradi mkubwa wa uzalishaji Umeme wa Maji wa Rusumo (Rusumo hydropower Project).

Mara baada ya kukagua mradi huo Waziri Makamba alipata nafasi ya kuongea na Wanahabari kuhusu hali ya mradi huo ulipofikia ambapo amesema>>' Kasi ya Ujenzi inaendelea vizuri na uko kwenye asilimia 95%, mradi ukikamilika Kampuni hii itauuzia umeme mashirika ya Umeme kwenye hizi nchi tatu (Rwanda, Burundi na Tanzania) umefadhiliwa na wafadhili wa Benki ya maendeleo ya Afrika na wafadhiri wengine wa Maendeleo' - Makamba.

Pamoja na hayo Waziri Makamba akaongeza kwa kusema >>'Tunautegemea mradi huu kuongeza uhakika wa umeme kwenye ukanda huu wa Ziwa Victoria, Jawabu la matatizo ya umeme kanda ya Ziwa ni mradi huu' - Makamba.

Mradi huu wa Rusumo Hydropower unategemewa kumalizika mwezi Novemba mwaka huu (2022) na utahusisha nchi 3 ambazo ni Tanzania, Rwanda na Burundi.
View attachment 2294233View attachment 2294234View attachment 2294235View attachment 2294236View attachment 2294237View attachment 2294238View attachment 2294239View attachment 2294240View attachment 2294241View attachment 2294242View attachment 2294243View attachment 2294244View attachment 2294245View attachment 2294246View attachment 2294247View attachment 2294248View attachment 2294249View attachment 2294250View attachment 2294251View attachment 2294252
Mradi wa kuendeleza bonde la mto Kagera ulisainiwa na marais watatu pale Rusumo mwaka 1978.
Walikuwa ni:
Julius Nyerere - Tanzania,
Juvenari Habyarimana - Rwanda na
......... Bagaza - Burundi
Wote ni marehemu.
Ilikuwa sherehe kubwa mno.
Tulikula na kunywa kwa wingi.
 
Wakuu

Naona ziara za kila jimbo na wilaya za mjoli wa Bwana zimeamsha popo rasmi!!

Naona katelephone nae kaanzisha ziara pia na marope kaunga!!ni vita vya kukubalika KABLA ya mbio za unamba MOJA hazijaanza Rasmi huko mbeleni!!!


Mjoli ametulia sijamsikia tena tangu tarehe 11 mwenzi huu huko itilima!!Hapo nae anakongamano lake Hapo September!!

NASISITIZA!HAYO YOTE HAYANA TIJA BILA KATIBA MPYA;NDIO MAANA KAMBI YANGU HAIKOMI KUIMBA HIVI:-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!!
 
29 July 2022
Makete, Njombe
Tanzania

TANESCO has awarded Multiconsult two major consultancy contracts for the Rumakali and Ruhudji hydropower project



Video :Source : BM24 News

More Info :

30 July 2020

Consultancy contracts awarded for Rumakali and Ruhudji in Tanzania​

Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has awarded Multiconsult two major consultancy contracts for the Rumakali and Ruhudji hydropower project and transmission lines projects in Tanzania. The projects will play a significant role in meeting the country’s increasing electricity demand.

Multiconsult will undertake feasibility studies, prepare conceptual design and tender documents, as well as conduct environmental and social impact assessment studies for the two proposed hydropower projects and associated transmission lines.
The 222 MW Rumakali and 358 MW Rhuhudji projects are both located in the Njombe region and could double the total installed hydropower capacity in Tanzania, from 562 to 1142 MW.
“We are very proud to be participating in the energy development in Tanzania by being awarded these large and important projects,” said Hilde Gillebo, EVP Energy in Multiconsult.
According to the International Energy Agency and the World Bank, Tanzania’s GDP is expected to grow by around 5-7 per cent annually in the coming years. However, despite vast hydropower and solar potential, only an estimated 36.6 per cent of the population in Tanzania currently has access to electricity

The Government of Tanzania has set aggressive electrification targets, aiming to achieve 75 per cent electrification by 2035. The Rumakali and Ruhudji hydropower projects will be significant in meeting the country’s increasing electricity demand.

The projects are scheduled to start immediately and are planned to be completed by late 2021. Norplan Tanzania Ltd and Tanzania Photomap Ltd will act as subcontractors to Multiconsult.
Source : Consultancy contracts awarded for Rumakali and Ruhudji in Tanzania | Hydropower & Dams International
 
Back
Top Bottom