mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
:mad2:
Polisi zamani walikuwa wana recruit Ma-WP wenye sura ngumu kweli! lakini siku hizi wanashindana na Lundenga kuchagua warembo.
Shughuli ipo!
Tuko pamoja kamanda.
Ninakubaliana na mapendekezo yako juu ya jeshi la polisi.
Observation zako ni za kweli hata recommendations zako zinaweza kuboreshwa kidogo kwa kuongezea na nyengine ili hatimaye tuwe na jeshi la polisi la wananchi wote wa Tanzania.
Nafiki kuna haja pia ya kulibadilisha jina, huenda kuitwa jeshi ndilo tatizo la msingi. Muda wote wanafikiria vurugu, kupiga virungu, risasi, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.
Nadhani tuiite huduma ya polisi (Police service) kama ilivyo South Afrika. Kenya nao wamelibadili jeshi lao la polisi kuwa huduma ya polisi.
ACP Akili Mpwapwa. Alikuwa RCO Arusha kabla ya uteuzi huu.
Hivi ukiua wananchi unapandishwa cheo....
Andengenye hivi karibuni alikataza polisi kupiga watu mabomu hovyo. so it was expected
Kwenye hii thread watu wanaongelea dhuluma za polisi dhidi ya raia na hapo hapo wanaongelea kuwa RPC ni deal kwasababu kuna ulaji.
Hizi contradiction katika fikra zetu ndio zinatishia ile Tanzania bora ambayo wote tunaitaka.
Tatizo la TZ sio mtu mmoja mmoja bali mfumo mzima na culture ya sisi wananchi ya kufikiria deals badala ya kufikiria kazi na uwajibikaji.
Bila kuzingatia hayo tutaondoa Andengenye mmoja na kuleta Andengenye mwingine na tofauti pekee itakuwa sura na utii kwa wanasiasa tofauti.
Anaandaliwa na nani, Chadema au CCM? Ninadhani Said Mwema ataendelea hadi 2015, serikali ijayo siyo ya ccmMkuu Andengenye anaandaliwa kuwa IGP
Tehe tehe tehee. Kweli siku hizi polisi wanashindana na Lundenga!
Tatizo ni kwamba hivi viWP havifananii na upolisi ukikutana navyo mitaani. Vinajirusha clubs kwa kwenda mbele na vinavaa nguo za ajabu ajabu kiasi ambacho huwezi kujua kama jeshi la polisi lina nidhamu ya mavazi!
Ha ha haaa. Nilikuwa nakaribia kushangaa kwamba Kimbunga hajatia maguu kwenye hii thread!
Huo ndio ukweli wenyewe mkuu lazima tufike mahali viongozi/maofisa wa juu wa jeshi la polisi watambue wajibu wao kwa wananchi. Wafanye kazi zao kwa weledi na miongozo ya jeshi la polisi, wajiepushe na kutumika kisiasa.
Mkuu Mwita Maranya mimi msimamo wangu ni vyombo vyetu vya usalama vifanye kazi bila upendeleo kwa kuwa nchi hii ni ya Watanzania si ya chama chochote cha siasa. Watu wanasema inabidi wawe na tujeshi twao kama green guards, blue guards ama red guards kwa kuwa vyombo vya usalama havifanyi kazi kwa weledi; hii ni hatari kwa ustawi wa usalama wa nchi yetu.
Pia mkuu naona haya mabadiliko yameenda sambamba na mabadiliko ya mawaziri wote waliokuwa wakishughulikia mambo ya usalama wa nchi yetu: Mwinyi, Vuai na Chikawe na wamekuja Vuai, Nchimbi na Mkuchika. Hii inaweza kuwa na ujumbe wowote juu ya utendaji wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?
Mtanzania,
Enzi za IGP Mahita ilikuwa inasemwa wazi bila kificho kwamba ukipewa U-RPC ilikuwa lazima umjengee nyumba. Sasa unadhani fedha ilikuwa inatoka wapi?
Pamoja na kwamba mfumo ni mbovu lakini kuna baadhi ya individuals wana abuse mamlaka yao.
Kimbunga,
Duh, mkuu Najua hapo kwenye red unanisema mimi.sijishtukii....lol
Mi naona kama kapandishwa cheo,kapewa ukuregenzi utawala na rasilimali watu,anaweza kuwa IGP afta Mwema
Mi naona kama kapandishwa cheo,kapewa ukuregenzi utawala na rasilimali watu,anaweza kuwa IGP afta Mwema