Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mungi,
Taarifa za Andengenye kuandaliwa kuwa IGP zimezagaa sana mitaani hata kabla ya uteuzi huu. Lakini atambue kwamba hata kama atakuwa ameteuliwa kuwa IGP siku tukipandisha juu bendera ya ukombozi kwa mara ya pili basi hapo ni kama alivyofanya Rais Joyce Banda wa Malawi.
Mwita Maranya
Hqapo kwenye red sasa tumekuja kwenye ukurasa mmoja.thanks kamanda...hakuna compromise na vibaraka wote kwanzia sasa wajue hilo