Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Mungi,
Taarifa za Andengenye kuandaliwa kuwa IGP zimezagaa sana mitaani hata kabla ya uteuzi huu. Lakini atambue kwamba hata kama atakuwa ameteuliwa kuwa IGP siku tukipandisha juu bendera ya ukombozi kwa mara ya pili basi hapo ni kama alivyofanya Rais Joyce Banda wa Malawi.
Hivi utaratibu wa kumpata IGP hauna uhusiano na Seniority in Service?