Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Sweetbert bangi, shalao, langwaa
I know a man anaitwa sweetbert, just imagine a man called Sweetbert!!
Sweetbert bangi, shalao, langwaa
njoo kwetu Moshi unakutana na Heavenlight Godlisten
Makabila mengine
wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita,
sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako
unayoyafahamu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Makabila mengine wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita, sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako unayoyafahamu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums