Makabila mengine bwana!! Chukua hiyo

Makabila mengine
wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita,
sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako
unayoyafahamu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

tabu, siyawezi, mawazo, kidawa, tanu, januari, tunza, shida, siwema, juma kiroboto.
 
Kwetu kuna kina Nokia,
Blackberry,
iphone 4s,
Tecno original,
siemens ya kidole,
Sony Ericsson,
Huawei,
HTC,

Juzijuzi hapa ndo kazaliwa Samsung Galaxy 5
 
Makabila mengine wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita, sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako unayoyafahamu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Nafikiri makabila mengi yana majina ya namna hii. Waulize wenye makabila haya maana ya majina haya:
Wanyakyusa: Ulimboka, Mwambulukutu, Mwaisemba, Mwakibete, Mwakingwe, Mwaikambo, Mwasajoni, Mwakyembe...
Wahaya: Ndibalema, Tinaabo, Timbilimu, Tinkamwesigile, Tindiyebwa(?), Rugalema, Rwiyimamu, Buberwa, Kakuru/Katto, Mulokozi, Rwebangira, Ntare...
Wasukuma: Iselamagazi, Bujiku, Masalakulangwa, Shigela, Kashindye, Makoye, Mihayo, Isaka, Kumalija, Mpanduji, Mpuji...
 
wakerewe
Tichamanyirwe,
Lukanazya
Tilusubya,
Nsagamambi,
Bandiho,
Kapipi,
Katebhalila,
Lwitakubhi,
Kapirigi,
 
chamdimu,kiasi yamboga, furaha, cheka, mateso, masumbuko, kaa nao, sikitu, siwawezi, siwema , si baya, ashibaye, mlanae, nguo gani, mumewangu, cheupe dawa, kidawa,chausiku, tabia, six bert, mwanamakombo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom