Kuna Mambo mengine yanapaswa kufikiriwa kwa kina
Tumeona katika biblia jinsi mababa wa Imani walivyojitwalia wanawake wengi wakawaoa na kuwazalisha hapo kale
Desturi hio ilitamalaki kwa Karne na Karne, na inachofurahisha ni hata wapakwa mafuta wa Bwana walijikusanyia warembo wakutosha kwenye makazi yao
Hivi kweli Mungu Wetu alikuwa anachukizwa na desturi hiyo na kwamba alikuwa anavumilia tu?
Mungu alikuwa mkali Sana katika suala la kuishi kitakatifu, Aaah jamaani! Yaani ashindwe kuwadhibiti katika hili dogo tu la kuwabana wawe na mke mmoja!?
Tazama Mfalme Daudi alipora mke na alizaa nae mtoto ambae alikuja kuhudumu Kama Mfalme wa Taifa Hilo la Mungu,
Najiuliza Tena, hivi Paulo mtume aliyepita kufungua makanisa na wengi kubatizwa waliwaacha wake zao baada ya kubatizwa na kuwa wakristo?
Kuna hoja dhaifu imetolewa kwenye biblia eti waliachwa waoe wake wengi kwa sababu ya udhaifu/ugumu wa mioyo yao, basi hata sheria zingine zisingewekwa kwa sababu ya Ugumu wa mioyo yao
Hapa wakristo tumepigwa na kitu kizito!
Ama ni maandiko yaliyoongezwa na kanisa letu katoliki, au aliyetafsiri eneo Hilo kutoka kugha ya asili ya biblia ameingia Chaka, alishindwa kupata maneno sahihi ya kiingereza
Leteni fikra zenu!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tumeona katika biblia jinsi mababa wa Imani walivyojitwalia wanawake wengi wakawaoa na kuwazalisha hapo kale
Desturi hio ilitamalaki kwa Karne na Karne, na inachofurahisha ni hata wapakwa mafuta wa Bwana walijikusanyia warembo wakutosha kwenye makazi yao
Hivi kweli Mungu Wetu alikuwa anachukizwa na desturi hiyo na kwamba alikuwa anavumilia tu?
Mungu alikuwa mkali Sana katika suala la kuishi kitakatifu, Aaah jamaani! Yaani ashindwe kuwadhibiti katika hili dogo tu la kuwabana wawe na mke mmoja!?
Tazama Mfalme Daudi alipora mke na alizaa nae mtoto ambae alikuja kuhudumu Kama Mfalme wa Taifa Hilo la Mungu,
Najiuliza Tena, hivi Paulo mtume aliyepita kufungua makanisa na wengi kubatizwa waliwaacha wake zao baada ya kubatizwa na kuwa wakristo?
Kuna hoja dhaifu imetolewa kwenye biblia eti waliachwa waoe wake wengi kwa sababu ya udhaifu/ugumu wa mioyo yao, basi hata sheria zingine zisingewekwa kwa sababu ya Ugumu wa mioyo yao
Hapa wakristo tumepigwa na kitu kizito!
Ama ni maandiko yaliyoongezwa na kanisa letu katoliki, au aliyetafsiri eneo Hilo kutoka kugha ya asili ya biblia ameingia Chaka, alishindwa kupata maneno sahihi ya kiingereza
Leteni fikra zenu!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app