kakirungu,kamkuki,mwalu,mamaya,chigo,tusagire,mlokozi,mzungu,tindo ,mlona,mlonda,njuru,masms.nk
mkuu hapo kwenye mamaya naona una utani na mimi
Achaneni na hao wa matatizo , jirani yangu Mmakonde.shida, masumbuko
Makabila mengine wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita, sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako unayoyafahamu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums