Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 241
Malezi ya siku hizi ya ovyo kabisa eti unakuta wazazi wanawalea watoto wao kama kuku wa kisasa hasa hawa wa kiume yani mtoto mpaka anakua mtu mzima hajui shida yani anakua yupo slow slow yani yupo taratibu balaa yani kumtofautisha na mwanamke huwezi.
Eti Unakuta umeenda kwenye nyumba mtoto junior analia ili amkate mgeni na kisu Afu mama yake anakuambia usikwepe ukikwepa atalia.
Kuna jirani yangu yani wale watoto ni kuku wa kisasa kabisa yani hata siku wakitoka nje wanakuwa wanashangaa shangaa kuna siku nusu wagongwe na gari bira Kupigiwa kelele ingeleta shida yani watoto wamezoea kukaa ndani miaka yote. Yani maisha ya kishua yanawaharibu sana watoto.
Unakuta vizazi vipumbavu eti vipo sebuleni mama kavaa kinguo cha ndani Kifupi nae baba kavaa kiboksa Kifupi ukiuliza ni uzungu Afu utegemee Familia kama hiyo watoto wake watakaza.
Ukiwa baba ndio nguzo ya familia hata kama una hela zako lakini watoto wako jifunze kuwalea kikamanda Wewe watoto unawalea kama kuku bloiler Afu Uje Hapa jf kupinga ushoga unajua mambo mengine yanatokana na wazazi wasio jielewa
Eti unakuta mtu na mke wake wanafamilia na watoto mda wote kuitana sweet Mbele ya watoto wao yani utazani mitoto Afu utegemee hiyo Familia iwe imekaza yani mda wote wanaigiza uzungu.
NAMSHUKULU BABA YANGU ALIKUWA MKALI NDIO MANA NIMEKUWA BABA BORA LEO
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Eti Unakuta umeenda kwenye nyumba mtoto junior analia ili amkate mgeni na kisu Afu mama yake anakuambia usikwepe ukikwepa atalia.
Kuna jirani yangu yani wale watoto ni kuku wa kisasa kabisa yani hata siku wakitoka nje wanakuwa wanashangaa shangaa kuna siku nusu wagongwe na gari bira Kupigiwa kelele ingeleta shida yani watoto wamezoea kukaa ndani miaka yote. Yani maisha ya kishua yanawaharibu sana watoto.
Unakuta vizazi vipumbavu eti vipo sebuleni mama kavaa kinguo cha ndani Kifupi nae baba kavaa kiboksa Kifupi ukiuliza ni uzungu Afu utegemee Familia kama hiyo watoto wake watakaza.
Ukiwa baba ndio nguzo ya familia hata kama una hela zako lakini watoto wako jifunze kuwalea kikamanda Wewe watoto unawalea kama kuku bloiler Afu Uje Hapa jf kupinga ushoga unajua mambo mengine yanatokana na wazazi wasio jielewa
Eti unakuta mtu na mke wake wanafamilia na watoto mda wote kuitana sweet Mbele ya watoto wao yani utazani mitoto Afu utegemee hiyo Familia iwe imekaza yani mda wote wanaigiza uzungu.
NAMSHUKULU BABA YANGU ALIKUWA MKALI NDIO MANA NIMEKUWA BABA BORA LEO
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app