Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
kuweka watu wa kabila lako kwenye kampuni yako ama biashara yako binafsi ni ruksa maana mwisho wa siku hata hasara ni yako mwenyewe, Lakini ajabu mambo haya yanafanyika serikalini kwenye mjumuiko wa taifa zima bado mtu anaweka kipaumbele kwenye jamii anayotokea hata kama wapo wenye sifa chache
1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa
4.Wahaya
1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa
4.Wahaya