majina ya wanao ama wanao watarajiwa

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
habari za mapumziko wana chitchat, katka maisha kila mtu huwa ana wishes zake kwenye majina ya wanawe watarajiwa. mf. mie kabla sijapata mtoto nilikuwa napenda jina la Yvonne na Ian, nilisema km nikimpata mtoto wa kike ntamuita Yvonne na kama ntampata wa kiume ntamuita Ian. bt nikampata wa kike nimemuita Yvonne.
reason: nilikuwa nampenda sana yvonne chakachaka hasa nyimbo zake. je wewe mwana cc ulipenda jina / majina yapi na kwa sababu gani?
 
Wanangu ni wanne na majina haya hapa. THEBOSS. EXELLENT. JJ. QUEEN.
 
Me mwanangu kipenzi wa kiume anaitwa George jr,
nimempatia jina hilo kwani nampenda sana dad yangu mzazi.
 
wa kwangu nitamwita Mchina. Kuwaenzi wachina kwa kuniwezesha kuwasiliana na haka kamchina kangu.
 
Wa kwangu akiwa wa kike nitamwita Brenda akiwa wa kiume nitamwita Brown Jr.
Brenda ni jina la mama yangu mkwe kipenz na Brown ni jina la anipaye tulizo la moyo a.k.a Papa Rejao lol!
 
Last edited by a moderator:
Wa kwangu akiwa wa kike nitamwita Brenda akiwa wa kiume nitamwita Brown Jr.
Brenda ni jina la mama yangu mkwe kipenz na Brown ni jina la anipaye tulizo la moyo a.k.a Papa Rejao lol!

hongera mamie kwa kuwa na mama mkwe mzur na mnayependana. ni wanawake wachache sana ambao wanashibana na wakwe zao!
 
Last edited by a moderator:
lolest, bd kuzaa ndio yupo njiani, ila hubby Asprin alisema atamuita @klorokwin, lol!

Hahahaha wife bana. Mitoto yetu hii ukiyaita majina hayo si itakuwa balaa. Tutafuata nyayo ya kuenzi lugha yetu kama nilivyofanya na mke mkubwa BADILI TABIA tulivyowaita Havintishi na dada yake Msinune.

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha wife bana. Mitoto yetu hii ukiyaita majina hayo si itakuwa balaa. Tutafuata nyayo ya kuenzi lugha yetu kama nilivyofanya na mke mkubwa BADILI TABIA tulivyowaita Havintishi na dada yake Msinune.

attachment.php

hahaa umenchekeshaje babu Asprin, kweli jasiri haachi asili. . .
 
Last edited by a moderator:
nitamwita havijawa kwa ke na me apendeki sababu ni majina halisi ya kitanzania nami ni MTz halisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom