Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Jana katika kikao cha bunge jioni Mbunge wa korogwe Prof. Maji marefu alisema anayo majina ya wabunge wanaosign na kuchukua posho kutoka mashirika mengine na wakifika bungeni wanadai hawataki posho.. alipoambiwa mwenyekiti wa bunge amsimamishe na awataje akasema asubiri kwanza. Hivi bunge ni la kusema uongo na mtu akatetewa? nilifikiri kama ni Zito amesema hivyo angeambiwa awataje maramoja.....Jamani awataje basi