Yani wewe Mgf Analyst kwa kuwaza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungeoa Bikra[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].... Jokha Jeusi
Wananchi wa Tanzania wanathamini nyuchi kuliko chochote kile!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu wananchi watasema umempa limbwata mume kumbe limwanaume ndani halina akili hata mojaHawa wengine unawatia makofi kidogo akili ziwakae sawa.
Hahhaha atulie dawa imuingieSponsa niachie my wng[emoji444][emoji444],kawimbo hata ndio kanamletea shida
Me too rafiki.Yeah! I am good no complaints at all. Life is good and beautiful 🙏🏽🙏🏽🙏🏽What about you?
Heb imagine.Nadhani ndoa ni taasisi inayoanza kukosa nguvu na umuhimu katika jamii.
Mkapata hadi muda wa kuwajadili maex wawili, haha maex wawili wa my wife wako? How ironic!!
Nani na nani?Dunia ibaki na watu wawili basi
Ukighaili wewe haijaghaili dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie eti huyo ndio mumeo mbona unaweza ghaili kuingia kwenye ndoa
Niwafahamu ili iweje. Utakufa mapema kwa stress. Ikitokea bahati mbaya nikamfumania (wakifanya mapenzi) ndio nitajua cha kufanya maana kwasasa hata siwazi kufuatilia mienendo yake, as long as ananiheshimu.Ikitokea ukawafahamu Unafanyaje?
Alishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.
Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?
Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.
Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Samahani wana ndoa sana sana wanaume.
Unaanzaje kumuoa mwanamke ambae hujajihakikishia kuwa haupigiwi?
Alishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.
Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?
Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.
Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Yeye na mkeweNani na nani?