Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,942
mliooa mna tabu sana
Yule mbunge au?We nae ni Chakubanga bado una mapenzi ya kitoto,unapata wapi muda wa kuzungumza na mkeo kuhusu Ex wake, kuongea tu hivyo tayari umeshampa ridhaa ya kuonana nao,huenda yeye hakuwa hata na fikra juu ya hao,ndo shida ya watoto wadogo kukimbilia kuoa,unaleta mada za ajabu!
Hakuna watu wenye wivu kama wazungu ,muwe mnaacha kusikiliza stori za vijiweni pamoja na kuangalia muvi za love stori kutoka hukoo kwao.Wazungu huwa hawana wivu wa kijinga namna hiyo!
Dunia ibaki na watu wawili basiUlitakiwa uhakikishe unaoa mwanamke ambaye hana maex au maex wake wameshakufa!
Sio rahisi mwanamke achomoe kwa mtu wake wa kipindi cha nyuma sababu wakionana wakichekeana tu kila mmoja anakumbukia vitu fulani vidogovidogo kipindi wananyanduana. Wanawake wengine hadi wanaloana kabisa kitendo cha kukutanisha macho 😊😊😊
Imagine.Na unampa rukhsa mkeo aliwe na maex wako ila asisahau kuvaa ndom? 😳😳😳 ameshawahi kuliwa mkiwa pamoja? Na kama unajua ana hizo tabia za kugawa hovyo hovyo kwanini ulimuoa?
Imagine.
Ila umemissiwa na mimi kiukweli
Nyuchi tamu mkuu acha tu.Wananchi wa Tanzania wanathamini nyuchi kuliko chochote kile!
We nyuchi sio kitu cha kutothaminiwa wewe.Wananchi wa Tanzania wanathamini nyuchi kuliko chochote kile!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie eti huyo ndio mumeo mbona unaweza ghaili kuingia kwenye ndoaOngeza sauti aunty.
Not really.Good to know I am still here but you are no where to be seen nowadays I guess because of being busy with a growing family.
Kuchapiwa ni siri ya ndani,[emoji444][emoji444]kawimbo katamu hatariAlishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.
Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?
Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.
Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Sponsa niachie my wng[emoji444][emoji444],kawimbo hata ndio kanamletea shidaWatu wazima kama watoto mfyuuuuu
Not really.
You gud?
Hawa wengine unawatia makofi kidogo akili ziwakae sawa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie eti huyo ndio mumeo mbona unaweza ghaili kuingia kwenye ndoa
Sio lazima useme moja kwa mojaWapi nimesema kuwa wazungu ni bora?Unajua kusoma?Inawezekana vipi ujitungie sentensi yako halafu usaksie kuwa ni mimi nimesema?!