Majibu ya mke wangu haya hapa

Majibu ya mke wangu haya hapa

We unamruhusuje asafiri aende kwao peke yake? tuanzie hapo kwanza. Kiutaratibu mnasafiri kama familia halafu mnakaa siku mbili tatu halafu mnaamsha.
Sio lazima watu wanatofautiana majukumu, we kila mwanamke kwenda kwao unaongozana naye kwani umeolewa kwao???
 
Anaenda mweziiiii?????? mimi mume wangu tulipanga safari hii aende kwao uchagani na mm niende kwetu milimani huko naona amesema tutaenda wote tuu yy haendi huko kwao. Siku zenyewe tatu ningeenda sasa ww mwezi mzima? au na ww una michepuko yako huko unaona haina noma utapiga mwezi mzima na yy huko akumbuke condom?? kweli majanga
 
Alishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.

Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?

Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.

Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Huyo kakupunguzia ghrama sa safari (nauli) na zawadi ulizowandalia wazazi (wakwe zako)
 
Usiumize kichwa wewe,usiruhusu mawazo hayo utapata ugonjwa wa moyo bure, mwanamke kama akiwa siyo mwaminifu hata bila kusafiri anaweza kugongwa tu kwani wewe una shinda naye 24/7? Kama anajiheshimu na wewe anakuheshimu hata akienda kukaa miezi sita hatakusaliti. Jiamini blaza.
 
Mimi nikioa 'mke wangu ataenda kwao kukaa mda mrefu kuanzia wiki 2 endapo kama atakuwa na mimba ya miezi zaidi ya 6 lasivyo basi labda awe na mtoto mdogo anayenyonya chini yamwaka 1' Lakini hivi hivi siwezi ruhusu mke wangu aende kwao pekeake.
Wanatiwa hawa ohoooo shauri lako
 
Alishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.

Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?

Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.

Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Anatishia kununa siyo. Pokea kabisa nauli asiende.
 
Yani mkeo nae huko kwenye Vicoba huwa anasema
"Mr atanilipia jamii wiki ijayo.."
Sasa Mr mwenywe ndo wewe.


MXXXXXXXXIEEE.
 
Back
Top Bottom