Majibu ya mke wangu haya hapa

Majibu ya mke wangu haya hapa

Samahani wana ndoa sana sana wanaume.

Unaanzaje kumuoa mwanamke ambae hujajihakikishia kuwa haupigiwi?
Ulimkuta ni bikira?

Hata huyo mke bikira naye huchepuka ni madhaifu tu wanaadamu wake kwa waume.

Hata wewe Siku ukiingia Kwenye ndoa usisimame na kujinadi kuwa mwenzi wako hachepuki.
 
Alishaapa kamwe hatanisaliti,lakini Kila nikifanya uchunguzi naona hamaanishi anachokisema.

Mwezi huu anaenda kwao kusherehekea krismasi na mwaka mpya, leo hii katika stori za hapa na pale nikachomekea neno, Mke wangu unaenda kwenu utakaa mwezi mzima, Ma Ex wako wawili ninaowafahamu wapo kule chondechonde usiende kuwapa tunda,amejibu...Sitatoka nyumbani mpaka siku nitakaporudi huku, Kwahiyo sitoweza kuonana nao, nikauliza,Je haiwezi ikatokea bahati mbaya mkaonana?

Akajibu hapana haiwezekani, nikamwambia wao wanaweza wakakuona wakamtuma mtu kwako au kuomba namba ya simu, akajibu.,..hapana hawawezi kufanya hivyo, Baada ya majibu haya nikagundua mke wangu ni dhaifu sana hana msimamo ndio maana ananiambia atakaa nyumbani tu ili asionane na hao watu, tafsiri yake ni kwamba akionana nao wakamuomba uporo hawatawanyima, baada ya majibu hayo nimemsisitiza sana ikitokea akaonana nao na wakamuomba tunda basi ajitahidi asije akacheka mechi pekupeku.

Sasa yeye kakasirika eti simwamini nahisi yeye ni malaya Kwahiyo hataenda kwao,tusaidieni katika hili jamani Nani mwenye kosa kati yetu?nilitarajia ataniambia anajiamini na hata akionana nao hatakuwa na muda nao lakini majibu yamekuwa kinyume na matarajio yangu.
Wewe Lofa, watu hatuna hela wewe unajadiri Utopolo ?, yaani hayo majibu mkeo anakuona boya na wewe unaona anasema ukweli, kalagabaho
 
Ulitakiwa uhakikishe unaoa mwanamke ambaye hana maex au maex wake wameshakufa!
Sio rahisi mwanamke achomoe kwa mtu wake wa kipindi cha nyuma sababu wakionana wakichekeana tu kila mmoja anakumbukia vitu fulani vidogovidogo kipindi wananyanduana. Wanawake wengine hadi wanaloana kabisa kitendo cha kukutanisha macho 😊😊😊
 
Na unampa rukhsa mkeo aliwe na maex wako ila asisahau kuvaa ndom? 😳😳😳 ameshawahi kuliwa mkiwa pamoja? Na kama unajua ana hizo tabia za kugawa hovyo hovyo kwanini ulimuoa?
Nina miaka 52 tu ya umri ila kwenye ndoa nina miaka mitatu
 
Samahani wana ndoa sana sana wanaume.

Unaanzaje kumuoa mwanamke ambae hujajihakikishia kuwa haupigiwi?
Ngono/sex ni sehemu ndogo sana katika ndoa. Sex hudumu masaa labda 4 katika saa 24 sa siku, sasa hizo saa 20 bila sex ndio ndoa yenyewe. Just imagine mnafanya tendo mara 2 kila baada ya siku saba. Sasa huo muda mwingine mtakuwa mnafanya nini?

Kadri umri unavyozidi songa ndio unaona sex ni jambo la kawaida sana.

Aleyn ngoja ukiwa mkubwa utaelewa hili
 
Mtoa post wewe hupaswi kuwa na wivu maana mke uliomuoa ni mke wa mtu tayari,,sasa unakuaje na wivu na mke wa mtu
 
Back
Top Bottom