MAJIBU UCHUNGUZI: Kukamatwa kwa Tumokinoi Mollel Samaito (Adv.Francis Samaito) na kuwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani Longido. Akaangwa

LAZIMA NISEME

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
232
260
MASAAAI.jpeg

TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO (Francis Samaiko - PICHANI) aliwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 30/11/2023.
Ruby.jpg

madini ya rubi

Hakuna mgogoro wowote kati ya mmiliki wa leseni (kijiji cha les mundarara) na mwekezaji huyo (northern crystal ruby limited).

HAKUNA USHAHIDI
wowote unaonesha kuwa Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Longido amekuwa akiegemea upande wowote wa mkataba huo na badala yake amekuwa akisimamia maslahi ya pande zote mbili.
[removal.ai]_05d1c3a5-5230-41fa-b483-b96986ac9abd-removal-676.png

MHE. MKUU WA WILAYA ya Longido alifanya kikao na viongozi na kuwasisitiza kusimamia rasilimali zilizopo kwenye kata hiyo na kujenga mahusiano mazuri na wawekezaji.


TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO aliingilia kwenye kikao hicho bila kuwa na mwaliko wowote katika kikao cha Mkuu wa Wilaya na viongozi wa Serikali.
JLaSPSJP_400x400.jpg

Tumokinoi Mollel Samaito aliwekwa mahabusu katika kituo cha polisi longido kwa mujibu wa kifungu cha 15 cha sheria ya tawala za mikoa.


  • 1616999538645.jpg
    TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO asiingilie majukumu ya mwanasheria mkuu wa Serikali.
 

Attachments

  • Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    193.1 KB · Views: 3
  • Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    193.1 KB · Views: 3
  • Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    Screen Shot 2023-12-15 at 14.38.33.png
    193.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom