Maji yakipwa huenda wapi?

Maji yakipwa huenda wapi?

NB: Mishale iliyooneshwa hapa chini kwenye mchoro wa tufe (dunia) huonesha maji kujaa (high tide) upande wa kushoto na kulia, then low tide (kupwa) upande wa juu na chini.

1660335867123.png
 
Part of the answer. Dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba (bodies) yaliyopo angani. Pili, dunia hai-move (rotation & revolution) katika hali ya complete stillness and tranquility, bali inayumba fulani hivi as if inataka kuanguka vile lakini always iko katika balance.

It's like cycling. Kuna balance, lakini sometimes kuna kulalia kushoto na kulia. So, hizo forces (centrifugal, gravitation, atmospheric pressures, internal forces, strong winds, na elements zingine majini, hali ya hewa) na physical features huleta matokeo ya maji kuhamia upande mwingine provisionally.

Think like this. Weka maji kiasi (like three quarters) kwenye beseni. Then, linyanyue juu na kulizungusha beseni taratibu huku ukiliegamaza (tilt) huku na huko.
Haya maelezo ni ya kitaalam sana. Na moja ya vitu visivyoeleweka au kuaminiwa au vyenye kasoro ni kuwa na maelezo ya kitaalam mengi sana ambayo mtu wa kawaida ni ngumu kuyaelewa au kuyafanyia practical. Maana yake ni kuwa elimu au maarifa ya hilo jambo yamefichwa kwa kutokujua au kwa makusudi. Binafsi linapokuja suala universe na mambo yake naonaga nadanganywa sana. Sijui labda ni elimu duni niliyonayo au uwezo wangu mdogo wa kuyaelewa.
 
Haya maelezo ni ya kitaalam sana. Na moja ya vitu visivyoeleweka au kuaminiwa au vyenye kasoro ni kuwa na maelezo ya kitaalam mengi sana ambayo mtu wa kawaida ni ngumu kuyaelewa au kuyafanyia practical. Maana yake ni kuwa elimu au maarifa ya hilo jambo yamefichwa kwa kutokujua au kwa makusudi. Binafsi linapokuja suala universe na mambo yake naonaga nadanganywa sana. Sijui labda ni elimu duni niliyonayo au uwezo wangu mdogo wa kuyaelewa.
Hukujiandaa tu kuyaelewa ila yanaeleweka
 
Kwetu hakuna bahari, ila kuna ziwa kubwa sana. Mara ya kwanza kufika mikoa ya Pwani nilishanga sana kuona bahari ikiwa kavu na maji yake yameondoka.

Ndipo nilipoikumbuka stori ya moja wa mshujaa wetu aitwaye Ng'wana Malunde. Huyu mwamba baada ya kuwasumbua sana wakoloni, walimua kumkamata na kwenda kumfunga Unguja, aliyeyuka huko gerezani na kuonekana maeneo mbalimbali akirandaranda na ndipo aliposimulia habari za bahari kwenda kuchunga.

Sasa nyie watu wenye bahari yenu, naomba mnijuze kwa kina, bahari ikipwa huenda wapi?
Kuna jitu kubwa huwa linakunywa hayo maji. Likikojoa ndo maji yanarudi
 
Haya maelezo ni ya kitaalam sana. Na moja ya vitu visivyoeleweka au kuaminiwa au vyenye kasoro ni kuwa na maelezo ya kitaalam mengi sana ambayo mtu wa kawaida ni ngumu kuyaelewa au kuyafanyia practical. Maana yake ni kuwa elimu au maarifa ya hilo jambo yamefichwa kwa kutokujua au kwa makusudi. Binafsi linapokuja suala universe na mambo yake naonaga nadanganywa sana. Sijui labda ni elimu duni niliyonayo au uwezo wangu mdogo wa kuyaelewa.
Kuyaelewa mpaka ufanye meditation
 
Mwezi unasababishaje maji kupwa na maji kujaa?
Kila kitu kinavutana na kingine (ngoja tusubiri ufanisi wa quantum entanglement, inaweza kutufumbua macho zaidi). In a nutshell, hii ni kwa sababu ya uwepo wa electromagnetic sub-atomic particles ndani ya maada (kama electrons, protons, etc) ambazo ndizo zinaleta matokeo hayo.

Sasa kadiri vitu hivi vinapokuwa na mass kubwa na kukaribiana sana, kani ya uvutano kati yao inaongezeka. Mwezi ndilo gimba kubwa zaidi lililo karibu na dunia.

Pamoja na kwamba dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba yaliyoko angani (jua, sayari zingine, nyota zingine, nk), kani ya mwezi ndiyo kubwa zaidi.

So, maji yanavutwaje? Ama kupwa na kujaa kunafanyikaje? Imagine kani hiyo ya uvutano kati ya mwezi na dunia kama vile mwezi unajaribu kufyonza ama kunyakua maji duniani na kuyavutia ama kuyaelekeza kwenye uso wake.

Kimsingi, dunia yote inavutwa, lakini kwa vile maji ni kimiminika kisicho intact (kisichoshikamana) kama ardhi, basi yako flexible (less viscous) kuhamia upande mmoja ama mwingine katika chanzo cha maji (like bahari).

Kwa hiyo, kwa sababu kani hiyo siyo kubwa sana (like blackhole 🙂) kiasi kwamba haiwezi kuyanyanyua na kuyahamisha maji mazima yatoke duniani, basi maji yanaishia kuburutwa na kuhamishiwa upande mmoja hadi mwingine wa ziwa, bahari, nk. kulingana na uelekeo na position ya mwezi angani wrt the earth.
 
Part of the answer. Dunia inakabiliwa na kani mbalimbali kulingana na magimba (bodies) yaliyopo angani. Pili, dunia hai-move (rotation & revolution) katika hali ya complete stillness and tranquility, bali inayumba fulani hivi as if inataka kuanguka vile lakini always iko katika balance.

It's like cycling. Kuna balance, lakini sometimes kuna kulalia kushoto na kulia. So, hizo forces (centrifugal, gravitation, atmospheric pressures, internal forces, strong winds, na elements zingine majini, hali ya hewa) na physical features huleta matokeo ya maji kuhamia upande mwingine provisionally.

Think like this. Weka maji kiasi (like three quarters) kwenye beseni. Then, linyanyue juu na kulizungusha beseni taratibu huku ukiliegamaza (tilt) huku na huko.
Ndio maana huwa sipendi kufuatilia sana habari za hii dunia,mwishowe tunaishia kutiana hofu tu.Yani imagine li body likubwa kama hili linaelea hewani huku linayumba yumba,huku linachomwa na jua upande mmoja huku upande mwingine unakuwa na giza,huku kuna mi force kibao inalipeleka kulia-kushoto juu-chini...
 
Ndio maana huwa sipendi kufuatilia sana habari za hii dunia,mwishowe tuanishia kutiana hofu tu.Yani imagine li body likubwa kama hili linaelea hewani huku linayumba yumba,huku linachomwa na jua upande mmoja huku upande mwingine unakuwa na giza,huku kuna mi force kibao inalipeleka kulia-kushoto juu-chini...
Nadhani hiyo ni paranoia ya kawaida tu, sawa na mtu anayesafiri kwa ndege (au hata gari) mara ya kwanza. Lakini akielewa na kuzoea utendaji na raha husika, anaweza hata kujisahau aka-book ndege za mashirika mawili kwa mpigo.

Hapa pia, ukielewa kwamba hizo kani zimeratibiwa na zinafanya kazi zake kwa uhakika na uaminifu 100%, wala hakuna sababu ya kuwa na hofu yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom