Maji yakipwa huenda wapi?

Maji yakipwa huenda wapi?

1. Kwanini maji ya ziwa hayakupwi Wala kujaa licha ya Dunia kuyumbayumba?

2. Kwanini maji ya bahari Dunia nzima yasijae upande ambao Dunia imelalia? Kuna mtu amesema kwamba maji yanapokupwa upande mmoja, jua kwingine yamejaa
Nö 1 swali zuri
 
Kulingana na Socrates, kuhoji au kuuliza ni kutaka kujua, swali zuri sana! Mimi jibu nililoambiwa shuleni ni mvutano kati ya mwezi na jua. Ila nami nipo kwenye Giza naomba nifafanuliwe kuhusu hilo. Hizo tides zimekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na Socrates, kuhoji au kuuliza ni kutaka kujua, swali zuri sana! Mimi jibu nililoambiwa shuleni ni mvutano kati ya mwezi na jua. Ila nami nipo kwenye Giza naomba nifafanuliwe kuhusu hilo. Hizo tides zimekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
1660805709684.png



1660805771306.png
 
Jibu ni 1st Newton's law of motion: " A body in motion remains in motion or a body at rest remains at rest unless acted upon by an external force" au kwa lugha nyepesi " An object will not change its motion unless an external force acted on it"
 
Jibu ni 1st Newton's law of motion: " A body in motion remains in motion or a body at rest remains at rest unless acted upon by an external force" au kwa lugha nyepesi " An object will not change its motion unless an external force acted on it"
^will not change its STATE^
 
Kwetu hakuna bahari, ila kuna ziwa kubwa sana. Mara ya kwanza kufika mikoa ya Pwani nilishanga sana kuona bahari ikiwa kavu na maji yake yameondoka.

Ndipo nilipoikumbuka stori ya moja wa mshujaa wetu aitwaye Ng'wana Malunde. Huyu mwamba baada ya kuwasumbua sana wakoloni, walimua kumkamata na kwenda kumfunga Unguja, aliyeyuka huko gerezani na kuonekana maeneo mbalimbali akirandaranda na ndipo aliposimulia habari za bahari kwenda kuchunga.

Sasa nyie watu wenye bahari yenu, naomba mnijuze kwa kina, bahari ikipwa huenda wapi?
simple ni kwamba sayari yetu hii yaani dunia inajizungusha kwenye mhimili wake na pia iko kwenye mzunguko wa kulizunguka jua kama sayari nyingine zinavyofanya. sasa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kuna wakati inaegama, hapo ndipo ujazo wa maji huhamia kule ilikoegamia na ikirudi kwenye usawa wake kulingana na upande ulipo maji hurudi kwenye ujazo wake. mzunguko huo ndio hutuletea usiku na mchana.
 
Kwetu hakuna bahari, ila kuna ziwa kubwa sana. Mara ya kwanza kufika mikoa ya Pwani nilishanga sana kuona bahari ikiwa kavu na maji yake yameondoka.

Ndipo nilipoikumbuka stori ya moja wa mshujaa wetu aitwaye Ng'wana Malunde. Huyu mwamba baada ya kuwasumbua sana wakoloni, walimua kumkamata na kwenda kumfunga Unguja, aliyeyuka huko gerezani na kuonekana maeneo mbalimbali akirandaranda na ndipo aliposimulia habari za bahari kwenda kuchunga.

Sasa nyie watu wenye bahari yenu, naomba mnijuze kwa kina, bahari ikipwa huenda wapi?
yanaenda mbingun😎😎
 
Ameeleza vizuri sana, kwa ufupi. Nadhani ambacho kinaweza kuleta utata kwa baadhi ni namna ambavyo mwezi unaweza kuyavuta maji.

Fikiria mwezi kama sumaku, then dunia na kila kitu (na maji pia) ni sumaku. Kwa hiyo vinavutana. Sasa maji kwa vile hayashikamani, yanavutwa na kuhama kulingana na uelekeo wa mwezi na jua angani.

Ikumbukwe kwamba mwezi (na jua) huwa sehemu tofauti tofauti angani, na hii huamua ni wapi kwenye uso wa dunia kuna kani yake ya uvutano mkubwa zaidi.

Palipo na kani kubwa ya uvutano, maji huvutwa zaidi na hivyo hujaa (high tide). Palipo na kani ndogo ya uvutano, maji hupwa (low tide).
kwanini ni maji ya bahari ndio yanahama?
 
simple ni kwamba sayari yetu hii yaani dunia inajizungusha kwenye mhimili wake na pia iko kwenye mzunguko wa kulizunguka jua kama sayari nyingine zinavyofanya. sasa dunia inapojizungusha kwenye mhimili wake kuna wakati inaegama, hapo ndipo ujazo wa maji huhamia kule ilikoegamia na ikirudi kwenye usawa wake kulingana na upande ulipo maji hurudi kwenye ujazo wake. mzunguko huo ndio hutuletea usiku na mchana.
Kidogo napata kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom