Maji ya Mvua meusi

X men

Member
Dec 26, 2021
11
23
Wilayani Nzega, mkoani Tabora siku 2 zilizopita ilinyesha mvua kubwa kiasi, kama kawaida sisi wa Uswahilini lazima tukinge maji kwenye ndoo, masufuria na mabeseni.

Cha ajabu sasa yale maji ya mvua yalikua ni meusi, tukajua labda kwa siku mbili tatu ambapo haikunyesha itakua bati limechafuka, jana tena imenyesha mvua kubwa sana tukakiknga tena maji.

Kwa mshangao tena maji ni meusi, tukajaribu kuulizia kwa majirani huko kwao, nao wakasema kama sisi kwamba wamekinga maji ya mvua ila ni meusi. Sasa wataalamu labda watusaidie hii hali ni nini na je hakuna madharau kiafya?
 
Wilayani Nzega, mkoani Tabora siku 2 zilizopita ilinyesha mvua kubwa kiasi, kama kawaida sisi wa Uswahilini lazima tukinge maji kwenye ndoo, masufuria na mabeseni.

Cha ajabu sasa yale maji ya mvua yalikua ni meusi, tukajua labda kwa siku mbili tatu ambapo haikunyesha itakua bati limechafuka, jana tena imenyesha mvua kubwa sana tukakiknga tena maji.

Kwa mshangao tena maji ni meusi, tukajaribu kuulizia kwa majirani huko kwao, nao wakasema kama sisi kwamba wamekinga maji ya mvua ila ni meusi. Sasa wataalamu labda watusaidie hii hali ni nini na je hakuna madharau kiafya?
Kote maji meusi yamejaa takavumbi kibao full vinyesi sasa ole wako unywe upate red eyes huponi usiseme aikusema
 
Hayo maji yana impurities nyingi na si salama kwa afya ya binadamu. Kwa kawaida mvua hukusanya gases na fragments nyingi zinazoganda hewani na kushuka nazo chini. Hata yakiwa meupe haimaanishi ni salama kwa afya ya binadamu ila kutokana na mazoea yetu tunayatumiaga hivyo hivyo na kujisababishia matatizo umri unaposogea kidogo kuanzia 50's kama saratani etc.
Maji meusi ya mvua ni ishara tosha kuwa sumu ni nyingi so akili kumkichwa mkuu.
 
Wilayani Nzega, mkoani Tabora siku 2 zilizopita ilinyesha mvua kubwa kiasi, kama kawaida sisi wa Uswahilini lazima tukinge maji kwenye ndoo, masufuria na mabeseni.

Cha ajabu sasa yale maji ya mvua yalikua ni meusi, tukajua labda kwa siku mbili tatu ambapo haikunyesha itakua bati limechafuka, jana tena imenyesha mvua kubwa sana tukakiknga tena maji.

Kwa mshangao tena maji ni meusi, tukajaribu kuulizia kwa majirani huko kwao, nao wakasema kama sisi kwamba wamekinga maji ya mvua ila ni meusi. Sasa wataalamu labda watusaidie hii hali ni nini na je hakuna madharau kiafya?
water is colorless mixture of gas
 
"Maji ya muvua yanatoka mbinguni wewe!"
Africa tunaweza kuwa watumiaji wa bidhaa za viwandani toka ulaya, katika kuona hatuwi na viwanda vikubwa vyenye kuzalisha taka gesi kwa wingi,....
Manchi mengi hali ya hewa sio nzuri kama Africa, Africa tupande miti mingi, tuwe na viwanda vichache salama, inatosha, mali zije tutoze kodi.
Deep Intel, ineleza sio kila kitu ni cha kukipokea hasa viwanda, ambavyo ni vikubwa, wenzetu uenda wakajifanya baadae wanatafuta cheap labour, kumbe wanatushushia mizigo, kwao wanaihamisha.
 
Mvua za mwaka huu zinatoka probably kwenye mabara mengine ambayo kuna uchafuzi wa hali ya hewa kwa kiwango kikubwa. Na asikuambie mtu hiyo ni adhari za viwanda hasa ule moshi wake.

Kwa ale wanatumia majiko ya kuni uke moshi wa kuni unaganda kwenye dari ndiyo hivyo hutokea kwenye anga. Moshi huo huganda kwenye mawingu na siku ikitimia dew point mvua hudondoka na rangi hizo.
 
Hii hali ya maji ya mvua kuwa meusi nimei-notice pia hapa mkoani KATAVI, mara ya kwanza nilihisi chombo kilichotumika kukinga maji labda kilikuwa nikichafu, bahati nzur nimekiosha mwenyewe na mvua ikanyesha tena siku ya leo, lakini cha ajabu maji bado yanaonekana ni machafu(meusi) licha ya bati kuwa jipya na hakuna jiko la mkaa wala kuni linalotumika kwenye hii nyumba.

# wataalam wa hali ya hewa tunaomba ufafanuzi#
 
Back
Top Bottom