Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,114
Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imesema majeruhi pekee wa ajali ya basi la mwendokasi iliyotokea tarehe 22/2/2023 Jijini Dar es Salaam, Osam Milanzi ameruhusiwa kutoka Hospitali baada ya afya yake kuimarika.
===
Tunapenda kuuarifu umma kwamba majeruhi pekee wa ajali ya basi la mwendokasi iliyotokea tarehe 22/2/2023 jijini Dar es Salaam ndugu Osam Milanzi ameruhusiwa kutoka Hospitali baada ya afya yake kuimarika.
Ndugu Milanzi alipokelewa MOI tarehe 22/2/2023 ambapo alipata huduma za kibingwa katika kitengo cha dharura (EMD), ICU, HDU na wodi 2A .
Ndugu Milanzi alipokelewa MOI akiwa ameumia maeneo ya kichwa, mguu wa kushoto, mkono na bega upande wa kulia
Ndugu Milanzi ataendelea na huduma kama mgonjwa wa nje na atarudi kliniki baada ya wiki mbili.
Aidha, Tunatoa shukran za dhati kwa watanzania wote, vyombo vya habari ambao kwa pamoja wameshirikiana nasi katika kumuombea na kumtangaza ndugu Osam Milanzi.
Imetolewa na, Patrick Mvungi Meneja uhusiano MOI
Pia soma:Aliyegongwa na mwendokasi atambuliwa na mkewe na ndugu yake
===
Ndugu Milanzi alipokelewa MOI tarehe 22/2/2023 ambapo alipata huduma za kibingwa katika kitengo cha dharura (EMD), ICU, HDU na wodi 2A .
Ndugu Milanzi alipokelewa MOI akiwa ameumia maeneo ya kichwa, mguu wa kushoto, mkono na bega upande wa kulia
Ndugu Milanzi ataendelea na huduma kama mgonjwa wa nje na atarudi kliniki baada ya wiki mbili.
Aidha, Tunatoa shukran za dhati kwa watanzania wote, vyombo vya habari ambao kwa pamoja wameshirikiana nasi katika kumuombea na kumtangaza ndugu Osam Milanzi.
Imetolewa na, Patrick Mvungi Meneja uhusiano MOI
Pia soma:Aliyegongwa na mwendokasi atambuliwa na mkewe na ndugu yake