Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Umeona eh. Na yeye kiherehere kimemponza. Nikiwaambia watu tuienzi lugha yetu huwa hawanielewi wakati lugha za wenyewe zinawashinda.
Hahahahahaaaa.... mie ntaandika Kimakua na kikwere changu hadi mwisho.