Hata supa nyamwela nae yupo hiyo bendi ya kamanyola ya mwanza wamechoka balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyamwela yupo twangaKhadija kimobitel na Bad Bakule mwaka 2018,walikuwa wanapiga show bar ya TOT Tabata,kila Jmosi kiingilio kinywaji.Weekend nikiwa naandalia EPL nasindikizwa na burudani kutoka kwao.
Ali Choki aka mzee wa Farasi enzi zake alikuwa hatari.Sijui super Nyamwela na super Danger wapo wapi nao.Nakumbuka kipindi cha nyuma nipo Manyanya kituoni,nilimuona Nyamwela anashuka kwenye gari na demu mkali kinyama.
Msafiri umemuona karibuni jackal ameshaachana na mambo ngada mda limenenepa sana bado yupo twangaMsafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!
Khaaaa Aisha kaacha watoto wawili wa kike na wakiume mkuu na fikiri sidhani kama amefarikiaisha alikutana na fikiri madinda stegini ,ivyo ikawa ngumu kumwachisha, pia fikiri alikuwa peneshee kumzibiti mcheza show ni rahisi
note:FIKIRI naye ni marehemu ,pia aisha hakuwa na mtoto
Ndiooo mama mtumishiAisha aliacha watoto wawili
Hahhaa nakusalimia mama MuinjiliNdiooo mama mtumishi
😲😲Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
Sijambo mama mchungaji jamani za weweHahhaa nakusalimia mama Muinjili
Mfano mzuri ni kama Cosmas Thobias Chidumule amewekeza, matatizo ya pesa ya kula hana
Kachoka au kazeek..?? Nimeanza kumsikia Ali Choki miaka zaidi ya 21 iliyopita...aysee juzi jmos nlikuwa pale villa park kirumba sikuamini kuwa Ali ndo anaimba live band akiwa kwny muonekano ule,jamaa kachoka saanaa mkuu
kachoka sanaa aysee hata dressing code yake inaonyesha tu hayuko poaKachoka au kazeek..?? Nimeanza kumsikia Ali Choki miaka zaidi ya 21 iliyopita...
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Wako france wana mji wao m manzese na belgium basi vibaka tu waomba bia,kanda bongo man yupo zake manchester anasafisha weipa ukijaza mafuta petrol station anafanya kazi.Najiuliza wale wanamuziki wa Congo wa miaka ya 90 waliwezaje maana wao asilimia kubwa ni matajiri na wengi wao wanaishi Ulaya sisi huku Bongo sijui tunakwama wapi
Mkuu walikuambia anazitumia kwa nini??Niliwahi pia mara kwa mara kumsaidia buku mbili mbili lakini nikastuliwa kwamba hazitumii kwa chakula...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na Katunzi
Mimi nipo mkoa nalima mkuu ShunieMsafiri umemuona karibuni jackal ameshaachana na mambo ngada mda limenenepa sana bado yupo twanga
Hata Aisha Madinda alishafariki. Nilikuwa napenda kuangalia Twanga sababu yake. Kweli wema hawana maishaPost ya juu hapo kuna mkuu ametype kwamba jamaa ni marehemu!!!
ok nilipata habari sio sahihi kutoka kwa mchepuko wangu ambaye alikuwa na ukaribu naye kule sinza mitaa ya lion