Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

Hata supa nyamwela nae yupo hiyo bendi ya kamanyola ya mwanza wamechoka balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Khadija kimobitel na Bad Bakule mwaka 2018,walikuwa wanapiga show bar ya TOT Tabata,kila Jmosi kiingilio kinywaji.Weekend nikiwa naandalia EPL nasindikizwa na burudani kutoka kwao.

Ali Choki aka mzee wa Farasi enzi zake alikuwa hatari.Sijui super Nyamwela na super Danger wapo wapi nao.Nakumbuka kipindi cha nyuma nipo Manyanya kituoni,nilimuona Nyamwela anashuka kwenye gari na demu mkali kinyama.
Nyamwela yupo twanga
 
Msafiri Diof aliLost kitambo kabla ya hata mziki wa dansi baada ya kuanza kutumia ngada.wawezeshaji wa mziki wa dansi kina papa Msofe,Said Ntimizi,Abdul Karim,Fikiri Madinda,Juma Kapuya.nk baada ya kupotea na mziki ukapotea!
Msafiri umemuona karibuni jackal ameshaachana na mambo ngada mda limenenepa sana bado yupo twanga
 
Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
😲😲
 
aysee juzi jmos nlikuwa pale villa park kirumba sikuamini kuwa Ali ndo anaimba live band akiwa kwny muonekano ule,jamaa kachoka saanaa mkuu
Kachoka au kazeek..?? Nimeanza kumsikia Ali Choki miaka zaidi ya 21 iliyopita...

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Najiuliza wale wanamuziki wa Congo wa miaka ya 90 waliwezaje maana wao asilimia kubwa ni matajiri na wengi wao wanaishi Ulaya sisi huku Bongo sijui tunakwama wapi
Wako france wana mji wao m manzese na belgium basi vibaka tu waomba bia,kanda bongo man yupo zake manchester anasafisha weipa ukijaza mafuta petrol station anafanya kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom