ni kweli aisee. dah!!!Maisha yanakuja, maisha yanaenda!
Ujana unakuja, ujana huondoka!
Ukiwa juu, kushuka chini ni kawaida!
Zama zake zimepita, ni zama za Uno!
Huyu legendary nilikutana nae Mwanza aisee,kachoka yaani yupo tuu.... Mimi kama mmoja wa wahenga nasikitika sana kumuona vile aisee.... huwa anapiga show Villa park pale.yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Bad Bakule ana kipaji sana.Khadija kimobitel na Bad Bakule mwaka 2018,walikuwa wanapiga show bar ya TOT Tabata,kila Jmosi kiingilio kinywaji.Weekend nikiwa naandalia EPL nasindikizwa na burudani kutoka kwao.
Ali Choki aka mzee wa Farasi enzi zake alikuwa hatari.Sijui super Nyamwela na super Danger wapo wapi nao.Nakumbuka kipindi cha nyuma nipo Manyanya kituoni,nilimuona Nyamwela anashuka kwenye gari na demu mkali kinyama.
Dansi zama zake zishaisha.
Du kweli haya maisha Mzee wa Londoni sasa kwisha habari,kuna wakati alikuwa maulidi kitenge wa kukwaa mapipa kwenda kwa mama,nasikia akapigwa bani baada ya tuhuma za akina pompei kumkabili,alikuwa anaingiza watu Uingereza akijifanya ni wanamuziki wenzakeHuyu legendary nilikutana nae Mwanza aisee,kachoka yaani yupo tuu.... Mimi kama mmoja wa wahenga nasikitika sana kumuona vile aisee.... huwa anapiga show Villa park pale.
Ama kweli wakati ni ukuta
Bora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.yupo super kamanyola ya mwanza.......nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani. nimemuona akikomalia kuiimba 'nawashukuru wazazi wangu' ya ddc mlimani park. najihisi kuhuzunika kiasi, lkn sijui ni kwanini!!
Maisha yanakuja, maisha yanaenda!
Ujana unakuja, ujana huondoka!
Ukiwa juu, kushuka chini ni kawaida!
Zama zake zimepita, ni zama za Uno!