Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,456
- 1,868
Alishaacha uteja sasa na kaacha kuomba hovyoSijui huko Uingereza anampiga nani mizinga,maana hapa bongo kuna wakati alikuwa anatembea na mwanaw akiomba pesa kwenye mabaa tofauti yake na marehemu Matonya ni kuwa Matonya alikuwa akiomba amelala juani huku akicharazwa na jua wakati Diouf yeye alikuwa anazurura kutoka bar moja hadi nyingine na kujitambulisha mimi Msafiri Diouf ila du jamaa ni bonge la rapper kwa muziki wa kibongo hakunaga
Uteja unadhalilisha sana
Hlf kawa mnene
Sent using Jamii Forums mobile app