- Thread starter
- #221
mara ya kwanza kuisoma hii comment nilidhani kuwa ni utani flani hivi......lakini hapa juzi kati nilimuona kwenye chombo flani cha habari wakati wa habari za michezo akihojiwa kuhusu Yanga na GSM. Mh, aina na namna ya maneno yake aliyokuwa akiongea, facial expression na muonekano wake kwa ujumla inawezekana kuna kaukweli ktk ulichosemaBora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.