Maisha ya ubachela

Maisha ya ubachela

Sijamuogopesha namtaarfu tu maana wanaume nao wamekua vichomi ..unaeza ona umeolewa ndo utapata unafuu ikawa viseversa
Ukienda kuolewa kwa lengo la kukwepa Ugumu wa maisha na mume akagundua lengo lako aisee atakusumbua mpk ukome
 
vitu vinaishaje hivyo while upo peke yako, au ndoa ndo ya kupunguzia makali ya maisha.. ikiwa huwezi pangilia maisha wakati upo pekee utawezaje ya wawili au zaidi

Hahaha mwisho wa mwezi ulopita sikuhemea vilikuepo bado Sasa angekuepo ahueni ingekuepo zaidi ya kuwa mwenyewe
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Si umesema nywele zimekatika asubuhi hii? Mbona unazingua
 
Watu wanashindwaga kuelewa juu ya kuoa na kuolewa, ni jambo zuri sana na ni mpango mzuri sana wa MUNGU ili mwanadamu asiwe masikini Bali awe tajiri maana katika Mwanzo 1:26-29 imeandikwa , akawabarikia, ina maana wakiwa wawili na si mmoja.
Pia kwenye mhubiri 4:9-12, imeandikwa , Afadhali kuwa wawili kuliko kuwa mmoja,
Maana watapata ijara njema kwa kazi yao.
Kwa maana wakianguka , mmoja wao atamwinua mwenzake, lakini ole wake aliye pekee yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua !
Tena wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto, lakini mmoja aliye mpekeyake tu awezaje kuona moto?(kupata joto?)
Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake , wawili watampinga, wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi
 
Dah!......bachela unataka kuolewa??!!.....hivi mh.makonda anapitaga Jf?
 
Umeongea ukweli, ndo maana huwa naamin kuwa hawa kutoka makwao na kuolewa kwa%95 huwa sihiali yao bali ni mahitaji, jarbu kupiga picha uangalie ke walio na elimu nzuri halfu wanakaz nzuri wanavosota kupata wachumba, hii ni kwa sababu ya jeur ya hela, ke mwingne anakubali kuolewa ili awe msaada kwa wadogo zake na nyumbani kwao, ni me tu wanaosukumwa na tamaa ya ngono lakin ke ni mahitaji ya maisha.
 
Ndoa si suluhisho La jibu la kuishiwa mama, cha Muhimu ni kukipanga kipato chako vizuri, hao wanaume wa kuombwa ela kila unapoishia unatoa wapi? Hata kama ni mumeo wa ndoa lakini si kwa hivyo! Wanaume wengi wa kwenye ndoa hutoa matumizi kwa mwez mzimaa sasa kama umeshindwa Ku manage kipato chako sasa hata utapopewa na mumeo hakitatosha maana nyakati hizo utakua na watoto + ndugu wa upande wa pili +wa upande wako! Mzigo juu ya mzigo, La Muhimu ukifika kila mwisho wa mwezi panga bajeti yako weka pesa za akiba pia incase of any emergency
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.

WAKUU,

MMELIONA TANGAZO HUKU??
 
Back
Top Bottom