KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Hiyo haina shida,mimi ntakuwa nakuchapa makofi malaini ukiniudhi bhana,lakini ya mahaba mamii.Pia kumbuka too much is harmful.. Mtoto umleavyo.. Samaki mkunje...
Hiyo haina shida,mimi ntakuwa nakuchapa makofi malaini ukiniudhi bhana,lakini ya mahaba mamii.Pia kumbuka too much is harmful.. Mtoto umleavyo.. Samaki mkunje...
Haya jiendekeze hivyo hivyo wakifa sijui utamtegemea nani.Fanya kazi wewe dada acha kupenda miteremko.
Ndo jibu hilooooo!
Viseversa au vice versa?Sijamuogopesha namtaarfu tu maana wanaume nao wamekua vichomi ..unaeza ona umeolewa ndo utapata unafuu ikawa viseversa
Kweli kabisa wewe tofali kuja pembeni kidogoUnadhani kuolewa mchezo...watu wanazeeka hawaoni ht wa kumwambia bby basi njoo tuishi wote....ndoa si km kwenda cinema...ukitaka unaingia ukitaka huingii...mpango wa Mungu huo...halafu ukiingia kwa ndoa kwa dhumun la kwenda kujipunguzia shida zako...itakushinda mana utakua mzgo na unachojali wewe n haja zako tu na c upendo...akiishiwa ndoa utaikimbia
Mmmh kufanya nn..mke wa mtu mie ....ohoooo![]()
sasa si uniambie hukohukoHivi uyo hapo kwa avatar yako ni wewe?Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Kwann sasa unakataa kuolewa,,Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Huyo mume nae si mpaka ummpate.... Kuolewa si maamuzi ya mwanamke.Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Njoo nkupe hela ya kununua shabu ili mihemko iwe on fleekHivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.