Maisha ya ubachela

Maisha ya ubachela

Haya jiendekeze hivyo hivyo wakifa sijui utamtegemea nani.Fanya kazi wewe dada acha kupenda miteremko.

Uchapakazi ndo mpango mzima wanaume wenyewe hawa wengine sikuhizi nao wanaangalia suala zima la Je bidada kiuchumi veepeeeee??
 
Unadhani kuolewa mchezo...watu wanazeeka hawaoni ht wa kumwambia bby basi njoo tuishi wote....ndoa si km kwenda cinema...ukitaka unaingia ukitaka huingii...mpango wa Mungu huo...halafu ukiingia kwa ndoa kwa dhumun la kwenda kujipunguzia shida zako...itakushinda mana utakua mzgo na unachojali wewe n haja zako tu na c upendo...akiishiwa ndoa utaikimbia
 
Unadhani kuolewa mchezo...watu wanazeeka hawaoni ht wa kumwambia bby basi njoo tuishi wote....ndoa si km kwenda cinema...ukitaka unaingia ukitaka huingii...mpango wa Mungu huo...halafu ukiingia kwa ndoa kwa dhumun la kwenda kujipunguzia shida zako...itakushinda mana utakua mzgo na unachojali wewe n haja zako tu na c upendo...akiishiwa ndoa utaikimbia
Kweli kabisa wewe tofali kuja pembeni kidogo
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Hivi uyo hapo kwa avatar yako ni wewe?
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Kwann sasa unakataa kuolewa,,
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Huyo mume nae si mpaka ummpate.... Kuolewa si maamuzi ya mwanamke.
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.

Upo tayari nikuchumbie
 
upweke una mambo,Umekaa ukafikiria,ukaona ushushe uzi wa namna hii upate faraja.
Natumai Umeipata.
 
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee nikutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata gafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Njoo nkupe hela ya kununua shabu ili mihemko iwe on fleek
 
Back
Top Bottom