Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

Huko bila kuropoka utakubalika? Unataka kusema mtu anaweza kukubalika kwenye kundi la matapeli bila kuwa tapeli?
Ndege wafananao huruka pamoja na kwa tabia yake huyu kweli kalelewa Ki-CCM na hapo kafika nyumbani. UDC ulimpwaya! Katika waliokomaa kwa unafiki na kufuzu, huyu kweli ni zao la UVCCM! Sifa zote anazo!
 
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee


Kuna kabila (...) Kihongosi maana yake ni Kiongozi kwahiyo juhudi zake zimeumbwa na jina lake amini usiamini majina huumba
 
Nani kakwambia ulete CV yake huku? Hakuna interview huku.
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee

 
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee

Inaonekana ukiwa mtu wa Chama sana ni lazima ukose akili na ushahidi ni huyu jamaa.
 
JE, WAJUA?

Maisha ya Kenani yanatupa Somo

- Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa

- Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO

- Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata.

- Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya.

- Mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa.

- Mjumbe wa halmashauri kuu ya Mkoa.

- Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa,

- Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa

- Amegombea udiwani akakosa

- Akagombea uenyekiti UVCCM wilaya akakosa

- Akagombea uenyekiti wa UVCCM mkoa akapata

- Akaenda China kuwakilisha mkutano wa kiuchumi wa Vijana 2018

- Akateuliwa kukimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa

- Akateuliwa kuwa DC Wialaya ya Arusha, baadae Akateuliwa tena Wilaya ya Iramba

- Leo Mwenyekiti wa CCM TAIFA Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na Kamati Kuu ya CCM wanamteua kuwa katibu mkuu UVCCM Taifa.

Usikate tamaa, kuwa muadilifu, kuwa mzalendo, penda kujitolea na ishi kwa kuheshimu wengine. Wakati wa Mungu ukifika utainuka. Kazi iendelee

Hawa rafili zangu wa Akina Mutwa nawaamini sana kwa uzalendo na uongozi. Akamilishe degree zote kwanza ndio tumjadili.
 
Back
Top Bottom