Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,060
- 22,755
Ndege wafananao huruka pamoja na kwa tabia yake huyu kweli kalelewa Ki-CCM na hapo kafika nyumbani. UDC ulimpwaya! Katika waliokomaa kwa unafiki na kufuzu, huyu kweli ni zao la UVCCM! Sifa zote anazo!Huko bila kuropoka utakubalika? Unataka kusema mtu anaweza kukubalika kwenye kundi la matapeli bila kuwa tapeli?