uongozi bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwl.RCT

    SoC03 Uongozi Bora: Kazi ya Moyo Inayogusa Roho za Watu na Kuendeleza Taifa

    UONGOZI BORA: KAZI YA MOYO INAYOGUSA ROHO ZA WATU NA KUENDELEZA TAIFA Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Uongozi bora ni kazi ya moyo inayogusa roho za watu na kuendeleza taifa. Uongozi bora unahitaji kuweka maslahi ya watu na maendeleo ya taifa mbele katika maamuzi na hatua zake. Uongozi bora...
  2. R

    SoC03 Uwajibikaji sifa ya uongozi bora

    Katika kijiji kidogo cha Arabika, wanakijiji walikabiliwa na ufisadi na ukosefu wa uwajibikaji kutoka kwa viongozi wao. Lakini wakati Imran alipochaguliwa kuwa diwani mpya, alianza kuleta mabadiliko chanya. Alianzisha utawala wa uwazi na uwajibikaji, na kuhimiza wanakijiji kushiriki katika...
  3. Mwl.RCT

    SoC03 Uongozi bora hauhusiani na cheo, bali ni kuwahudumia wengine kwa uaminifu na kujituma

    UONGOZI BORA HAUHUSIANI NA CHEO, BALI NI KUWAHUDUMIA WENGINE KWA UAMINIFU NA KUJITUMA Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Uongozi ni jambo muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Kila siku tunakabiliana na uongozi kwenye sehemu mbalimbali za maisha yetu. Kutoka kwa viongozi wa kisiasa hadi kwa...
  4. BigTall

    DOKEZO Viongozi wa Halmashauri ya Mji Masasi ni tatizo, Mkurugenzi huyu anawaonea watu

    Mimi nina jambo natamani kuchangia lijulikane kwa umma, imekuwa ni kawaida sana kwa Watumishi wa Serikali hasa katika Halmashauri ya Mji Masasi kuwahudumia Wananchi hovyo na kwa uonevu. Inapotokea mwananchi akaenda kwa Mkurugenzi wengine wanatushiwa hadi kuwekwa ndani ilimradi tu Mkuu awalinde...
  5. ASIWAJU

    Kwa sasa Tanzania hatuna viongozi bali tuna Wanasiasa

    Habari za saa members wote, leo kwa uchache ningependa kulizungumzia taifa kwa namna linavyo endeshwa. Mpaka sasa ndani ya taifa letu la Tanzania taaluma nzima ya uongozi imepotea kabisa na siasa za kizandiki zimetamalaki kila pande. Taifa hili limeshindwa kupata uongozi/viongozi kwa muda sasa...
  6. Wadiz

    Tanzania haijawahi kupata Kiongozi kwa tafsiri halisia ya Kiongozi

    Uongozi ni dini na dini ni ibada na dini ni kuungama, kutubu, kuwa msafi, kukataa uwongo na unafiki. Kwa awamu zote za utawala toka uhuru nchi hii haijapata kiongozi , ni ukweli usiopingika haijatokea. Hoja yangu, hawa viongozi wamekuwa na watu wao wanaowaamini, they have had people whom they...
  7. H

    SoC02 Tunaweza kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi Tanzania na Afrika

    Afrika ni bara la pili kwa ukubwa duniani na ni bara lililobarikiwa kuwa na utajiri mkubwa ulimwenguni. Afrika pia inatajwa kuwa ni bara muhimu la kimkakati katika maendeleo ya dunia, Lakini Afrika ina historia ambayo ni giza tupu na imejawa majonzi, manung’uniko,jasho na damu. Historia ambayo...
  8. B

    Barca inatupa Somo la Uongozi Bora

    Miezi kadhaa iliyopita ilionekana kama mwisho wa enzi kwa Barcelona. Awamu za uongozi wa Sandro Rossel na Bartomeu ziliiacha Barca katika hali mbaya ndani na nje ya uwanja. Kurejea katika uongozi kwa Laporta kumebadilisha kabisa uelekeo wa mambo. Laporta huyuhuyu ndiye aliyeiacha Barca ikiwa na...
  9. Peter Stephano 809

    Uongozi wa Watu

    Na Peter Mwaihola Tafsiri Isiyo rasmi inabainisha Uongozi kuwa ni kuonyesha namna ya kufanya kitu, jambo kama vile kuonyesha njia. Dhana ya Uongozi ilianza Miaka ya zamani Sana kutoka enzi za Ukabaila na ukoloni kwakua jamii lazima iende kwa kuwa na dira maalumu yenye muelekeo. Uongozi...
  10. K

    SoC01 Uongozi bora ni chachu ya maendeleo chanya Tanzania na Afrika

    UTANGULIZI Viongozi wanaojitambua na kuzitambua vizuri kazi na majukumu yao ndilo jicho bora katika kutengeneza nchi yenye maono na muelekeo wa kujenga msingi mzuri wa maendeleo kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho . Uongozi ni wajibu ,dhamana, jukumu, deni unalopaswa kulilipa kwa...
  11. S

    Uongozi Bora na Uwajibikaji wa Kidemokrasia

    UONGOZI BORA NA UWAJIBIKAJI WA KIDEMOKRASIA Kwa maana ya jumla, demokrasia ni nguvu ya wengi katika kufanya maamuzi yanayohusu umma na kuweka usawa wa kisiasa katika matumizi ya nguvu hiyo (International IDEA 2008). Demokrasia ni lazima iwape wananchi uwezo wa kujieleza na kuwasilisha hoja...
  12. J

    Nyerere: Ili nchi iendelee inahitaji Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora

    Nasoma moja ya vitabu vilivyoandikwa na hayati Julius Kambarage Nyerere, kwa kweli vimejaa hekima na busara. Naipima Tanzania na vigezo vya maendeleo alivyoainisha Mwalimu Nyerere kwamba ni watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Bado sijajua Tanzania tunakosa nini katika hivyo vinne! Je...
  13. kavulata

    Msolla, uongozi bora kwenye mpira ni vikombe vingi

    Mzee Kikwete aliusifia uongozi wa akina Msolla kuwa anaongoza vizuri klabu ya Yanga. Je, hii ni kweli? Miaka 4 hujapata kombe lolote ispokuwa Mapinduzi Cup huo ni uongozi bora?
  14. Stephano Mgendanyi

    Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

    JE, WAJUA? Maisha ya Kenani yanatupa Somo - Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa - Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO - Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi. - Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata. - Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya. - Mjumbe wa...
  15. K

    Watanzania ni lazima waambiwe na wajue, hakuna tusichokuwa nacho ili kuiletea nchi yetu maendeleo

    Watu wa kwanza wanaotakiwa kulifahamu hili ni viongozi wetu, na wao ndio wawe mstari wa mbele kuhimiza kila mtu ajibidishe kujiletea maendeleo na kwa kufanya hivyo kuipatia nchi yetu maendeeo inayoyatafuta. Hii ndio kazi ya kwanza muhimu kwa viongozi wetu. Hatutegemei wawe watu wa kuzunguka...
Back
Top Bottom