KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mambo vp?wakubwa na wadogo?Mimi ni kijana wa Miaka 21,mwezi wa tatu tarehe 2 ndo natimiza miaka 22,Jf nilijiunga bila kulazimishwa na mtu ni kwa mapenzi yangu mwenyewe ndo maana nimeweka info zangu full paka ma pic...ila kuondoka nimeondoshwa na watu wa Jf,kwa sababu zao binfsi,kwenye Jf kwa muda mfupi niliojiunga Jf nimejulikana na watu wengi nani mewajua watu wengi kiasi,kama wa kina Kongosho,Lizzy,The Boss,Marelia Sugu,Boflo,Mwita25,Faiza Foxy,Facebook,Paka Jimmy..na wengine wengi,ebwana kuna MIJITU maana sio WATU,wana ni PM kuwa awanitaki Jf eti kutokana na Topic zangu za kitoto,na majibu yangu sio mazuri..sasa kuepusha Ugovi na watu,nilikuwa naomba mnipe maelekezo jinsi ya kujiondoa humu,nimechoka na lawama za humu mtoto wakiume nakuwa sina Amani bwana,kwa sababu ya watu fulani,ni hayo tu,nisome kama Dazi Pozi a.k.a Mx
Ficha Upumbavu wako;By Invisible