na ukweli umedhihirika.
dogo usiondoke .wewe achana nao tu
Ivuga unaona sababu anazo toa kwa kubaki JF?Mwali leo umepita kwangu,basi sitoki Jf,Mx
Ukweli gani?
Huyo Dazi anawakilisha kila mwenye umri huo?
Mia mia mtu mzima nimekusoma Binti,Mxhapa hatuuzi sura jf ni zwizwizwigi..tyuu..!! kama hiphop. yaani hapa ni kuongea ukweli tu hata kama ukweli utamuuma. hapa ni habari mpasuko, malavidadi na stori kwenda mbele. wewe kama umechoka kula kona tu. wanao kutongoza mbona hutuambii? ningekuwa paw nakupiga ban ya wiki utie akili. eti wanakupm, na wewe si uapm?. alaaa...!!!
Humu ndani nimesha kutana na mtoto wa miaka 16 lakini akichangia anaonekana yuko mature sana.
huyu ana matatizo yake tu mwenyewe.
PM invisible akueleweshe tungo tata!!Sijaelewa?jombaa?Mx
yeye ni mmoja wa wengi waliopo na sio wote.Mwali kanifurahisha kasema kakutana na kijana wa 16 years lakini ni kichwa balaa.