Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

...na utakapofikia hatua ya kutaka kujitoa Uhai na Watu wakakuokoa, utakuwa umejiweka doa kubwa kwenye maisha yako yote yaliyobaki na kwa vizazi vyako vyote vinavyokuja!...fikiria mtoto wako yuko shule halafu wenzake wanamuambia 'Baba yako alitaka kujinyonga!', mwanao atajisikiaje? Pambana na huyo Pepo anayejaribu kukukonvisi kwamba Kujiua ndio suluhisho la matatizo yako!
Sio Kweli
Pambana.....ndio suluhisho la matatizo yako yote.
Kuna Mkuu amenena ukweli hapo kuwa akikueleza yanayompata, hata wewe unayetaka kujiua kwa yanayokupata unweza ukajisikia kumpa hela!!
Ndivyo ilivyo Mkuu. Usikate Tamaa kirahisi. PAMBANA....
mkuu usijitose baharini, bado aujashindwa embu jaribu kuweka hapa maswahibu yako utasaidiwa kujiua uko ni kujidhalilisha who you are na safari yako nzima ya maisha

hakuna lakushindikana chini ya jua aya mengine ni mapito tu mkuu, USIFE KIZEMBE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
mkuu wiki ijayo napokea mshahara, kama utavumilia nipo tayari nikupe kiasi endapo shida yako ni kuhusu pesa, kama shida haihusu pesa naomba uopitie mawazo ya wadau wengine hapa kwamba HAKUNA GIZA LA MILELE, yatakwisha, nicheki
 
Sawa kwakuwa umeamua kuwapa samaki furaha na kilio utawapa binadamu.
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini.

Nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama lengo lako ni kujitoa uhai, hii njia unayotaka kuitumia ni kati ya njia za hovyo kabisa na uwezekano wa lengo lako kutimia ni mdogo mno.
 
mkuu wiki ijayo napokea mshahara, kama utavumilia nipo tayari nikupe kiasi endapo shida yako ni kuhusu pesa, kama shida haihusu pesa naomba uopitie mawazo ya wadau wengine hapa kwamba HAKUNA GIZA LA MILELE, yatakwisha, nicheki 0718829826.
Ni jambo jema lakini hili ungeenda PM.. Kuweka no yako hapa unawapa nafasi matapeli na waongo wakutafute wakijifanya wana shida
Naamini uongozi kuna kitu wanafanya ili kuwe na sauti moja kwenye hili

Jr[emoji769]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Acha ufala ww kwani maisha ni kutafuta baharini tu njoo nchi kavu huku,ardhi ni pana sana nenda katafute maisha kwengine usiogope,mbeya,geita,arusha,moro,mwanza,kahama na hata nje ya nche nenda katafute,mwanaume kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini.

Nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]dah aiseee

121.
 
Back
Top Bottom