My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,602
- 11,885
Seriously nenda jonaUnanisingizia arif
Ama unaongea na simu?
Seriously nenda jonaUnanisingizia arif
Ama unaongea na simu?
Imenibidi nicheke kwanza.. dah hii dunia kweli ina raha yake.. Mkuu tueleze kinagaubaga shida nn hasaWakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema
Sent using Jamii Forums mobile app
duuu! maneno yako makali sana mkuu! fikiria positive kwenye kuandika, ujenge sio kubomoa kama hivi unavyo fanyaUpo bahari ukanda gani we kufa tu kama ni maeneo ya kigamboni ukishaanza kuelea kwenye maji baada ya samaki wakishakula macho na pumbu zako mi nikipata taarifa nitaanzisha Uzi wa kukuaga humu JF au huna taarifa ya kwamba mfa maji ana tabu zaidi kuliko anayejinyonga??!!
Kama Maisha magumu kila mtu ana mapito yake katika dunia unajiua unajuaje labda ndo muda wako wa baraka ndo unakaribia maana giza likizidi sana ndo ishara ya mapambazuko
Huyo nae ana sonona! Kamanda,
Kwanini mimi?Seriously nenda jona
Kama anaendesha chombo akijitosa hao abiria vipi?
Kama anaendesha chombo akijitosa hao abiria vipi?
Tatizo? Id fake yake na matendo anayafake pia, ili ukimfuatilia kwa msaada ama kwa shari usimpate.nyie mnaojibu vibaya,akifa kweli sio mrudi na majuto kwa nini mliongea vibaya kwenye thread yake..