Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Naikumbuka hii story ya mama mmoja alifiwa na mtoto wake akaona uchungu mkuu hata asikubali kile kilichotokea basi akaanza kusafiri kwa waganga na makuhani ili aweze kumrudisha mtoto wake maana anampenda sana hivyo hawezi kukubali kufa kirahisi. Katika harakati hizo alijikuta ameingia kwa mganga nguli mwenye sifa za kurudisha maiti. Alipewa dawa ambayo masharti yake ni kuchanganya na udongo wa nyumba/boma ambalo halijawahi kufiwa na mpendwa wao yeyote labda ni mama, baba au mtoto. Mama yule akaanza kuzunguka huku na huko hata asipate sehemu ambayo hawajawahi kufiwa, ndio mara akakaa chini na kujiuliza binafsi kama hawa wote wamefiwa na maisha yameendelea ni kitu gani mimi kinanisumbua mama yule baada ya kuwaza na kuwazua hakuona haja ya kurudi tena kwa mganga bali kukubali changamoto zake kuendelea na maisha yake kama kawaida kwani hakuna yeyote hapa duniani asiye na matatizo hata wale unao waona wanacheka na kufurahi.
 
Mwone baharia mwenzako huyu ambaye aliamua kubadili kazi na sasa anakuambia "Nina kula laha sana"
tapatalk_1580669949351.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona imekuwa fashion sasa baada ya yule kijana wa Mtwara!
 
Hutu huenda kasha jiua
Mwenye mawazo mgando mwingine kama huyu chukua hii kabla hujafanya maamuzi ya kujiondoa duniani

Kumbuka kile unachokifanya yupo mtu ambaye anatamani sana kuwa kama wewe wewe Ni model wake kukata tamaa unawakwamisha wengi sana wanojifunza kupitia wewe

Kazi ulionayo hailipi, haikidhi mahitaji ya familia. Achana nayo shika fanya mchongo mwingine dunia iko pana sana .Lima hata mchicha huwezi jua utafanikiwa kwa kwa shughuli ipi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa amelewa ulanzi. Watu wanachukulia poa kuandika andika ujinga kuna siku watavurugukiwa akili.
Screenshot_20200314-085557_Samsung Internet.jpg
 
Oya chongoe brother sikia kwanza. Wengi tumepitia magumu zaidi yako. Naomba utulie kwanza wadau wakupe ideas.

Mwenyewe hapa nina majanga nikikuambia utanitumia hela mbona. Sema nimeamua kukausha tu.

Tupambane kaka.
Kweli mkubwa ,watu wanamengi makubwa ila kujiua sio suruhu ni roho ya ubinafsi sana,fikiria washikaji. Na ndugu itakuwaje baada ya kujiua,kubwa kama umetaitika vizuri kuomba ushauri. Na dili za kupata ya kula tunaweza kupeana pia hapa ni zaidi ya familia.
 
Back
Top Bottom