Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Lakini nimesikia kuna tukio limetokea kule ununio baharini kuna mtu kapatkana baharini kafa sasa sijajua kama ni yeye au lah ngoja niwasiliane na watu walioko huko ununio nione wanasemaje??
Nikweli ndugu
lakini kama mtu anataka kujiua na anakuja kutangaza anataka atention zetu kabisa, kitu ambacho nikutafuta sifa za kijinga
kwanini napata ujasiri huu kuongea hivi wakati nisuala la kifo?
Sababu kubwa ni hiii
Kuna thread kama mbili zipo humu ni watu walikata tamaa kabisa yakuishi walikuja wakijieleza na namna gani hawaoni umuhiu wakuendelea kuishi, walikuja kuona kama wanaweza kupata msaada wowote naamini waliona kunatumaini fulani wanaweza kupata,
Mwishowe wote waliweza kusaidiwa vyema hata wakileta mirejesho mizuri kabisa,
sasa huyu ni nani hajihurumii kabisa na anaweza pata ujasiri wakuja hapa kutangazia hapa kwamba anajiua?
kama kweli ameshindwa kabisa kupata msaada na tumaini anapata wapi ujasiri ama akili yakuaga?
Nature can't lie kamwe "Anayejisifia kwa shida aliyonayo nikwamba tayari anauwezo wakuikabili ila hajataka kwa makusudi, maana wasioweza kuzikabili wala hawawezi kuyajua matatizo yao"

Over
 
Lakini nimesikia kuna tukio limetokea kule ununio baharini kuna mtu kapatkana baharini kafa sasa sijajua kama ni yeye au lah ngoja niwasiliane na watu walioko huko ununio nione wanasemaje??
Shida kubwa sana hiyo kwake na familia yake kuwaumiza tu familia na ndugu jama ana marafiki kwa mambo ambayo yanaweza kuwa solved
 
Mkuu kama utaona ujumbe wangu huu ?! upo wapi ebu njoo pm tafadhari nini kilicho kusibu ?
Nina jamaa yangu juzi tu kakimbiwa na mkewe pamoja na mtoto na vyombo vyote !! Nina rafiki yangu ana degree ya uchumi anachoma maandazi ukimweka momara pembeni Mkuu njoo ujionee navyoishi geto naishi kwa kuchotea majirani maji malipo yangu chakula, na beba takataka ,nakata fensi ya michongoma, nafanya shughuli za kufagia kwenye majumba ya watu malipo chochote nachopewa Mkuu bado nina changamoto kibao za kimwili (disability) , Mkuu life is nzoronzoroganza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini nimesikia kuna tukio limetokea kule ununio baharini kuna mtu kapatkana baharini kafa sasa sijajua kama ni yeye au lah ngoja niwasiliane na watu walioko huko ununio nione wanasemaje??
Duh...….Eeh Mungu aepushie mbali jamani.
RIP huyo uliemsikia amepatikana huko Ununio
 
Kuna wagalatia wameanza kusikilizia news za mtu aliyejitosa baharini. ...Mungu azuiye nia yako ovu ya kujitoa roho inshalah
 
Lakini nimesikia kuna tukio limetokea kule ununio baharini kuna mtu kapatkana baharini kafa sasa sijajua kama ni yeye au lah ngoja niwasiliane na watu walioko huko ununio nione wanasemaje??
union ipo sehemu gani kwa majibu wa mtoa mada anafanya kazi za uvuvi kisiwani mafia anaishi jibondo njoo na taarifa kamili mkuu inaweza kuwa ndio yeye chongoe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio union na wewe! Ni UNUNIO

Halaf nazani jamaa hajajizuru hadi sasa.
union ipo sehemu gani kwa majibu wa mtoa mada anafanya kazi za uvuvi kisiwani mafia anaishi jibondo njoo na taarifa kamili mkuu inaweza kuwa ndio yeye chongoe

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliomwita huko pm watupe mrejesho tafadhali
Screenshot_20200314-125558.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambo nataka kuandika, lakini acha tu ngoja niendelee kusoma maoni ya wadau.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu,kwann mtu kama kiduku lilo asijitokeze na kusaidia watu wenye uhitaji hapa Jf akazd kubarkiwa zaidi na mali alizonazo maana simuoni kabsaa akijitolea kwa lolote au ndo wale wakujifanya wanacho kumbe majanga tu et. Maana simuelewi huyu jamaaaa
Shida kubwa sana hiyo kwake na familia yake kuwaumiza tu familia na ndugu jama ana marafiki kwa mambo ambayo yanaweza kuwa solved
 
Atakuwa kaahirisha zoezi.
Wasaikolojia endeleeni na jitihada za kuokoa maisha ya kijana.
 
Back
Top Bottom